Mbabani
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,171
- 3,359
Taarifa za ndani ya Simba SC zinaripoti kuwa, Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi ya kampuni ya Simba SC, Abdallah Salim 'Try Again' haelewani na Afisa Mtendaji Mkuu wake Barbara Gonzalez kwenye uendeshaji wa mambo katika klabu hiyo. Inaelezwa MO Dewji anamkingia kifua CEO.
source: @FutbalPlanetUpdates
source: @FutbalPlanetUpdates