Nafikiria Simba wanatumia Based on CV na ndio maana wamekuwa wakitoka kueleza umma ya kwamba tumepokea CV za makocha 1000 dunianiKuna namna mbili za kumscout kocha, 1.based on performance/ ideas,
2.Based on CV, sijui timu zetu zinatumia ipi ila ya kwanza ni bora kuliko.
Huyo Berkane walimtimua kutokana na matokeo mabovu
Imeeleza hadi kufikia jana, kulikuwa na makocha wawili ambao walikuwa wakiangaliwa kwa mara ya mwisho ili mmoja kupitishwa akiwemo kocha wa zamani wa RS Berkane ya Morocco raia wa nchi hiyo, Tarik Sektioui. Mwingine ni Jozef Vukušič raia wa Slovakia.
Taarifa ambazo imeripoti Gazeti la Spoti Xtra, zinasema kwamba, Sektioui ana nafasi kubwa ya kupewa mikoba hiyo.
Kocha huyo Oktoba 25, 2021, alikiongoza kikosi cha RS Berkane kutwaa Kombe la Shirikisho la CAF kwa ushindi wa 1-0 dhidi ya Pyramids FC ya Misri.
Chanzo chetu kutoka Simba, kimeweka wazi kwamba, baada ya uongozi kuchakata na kufanya mahojiano na makocha waliosalia kwenye ile orodha ya waliokuwa wakiwahitaji, Sektioui ameonekana kuwa na nafasi kubwa.
“Tayari tumeshapata kocha mkuu na kwamba taratibu zote za usajili unaoendelea kwetu, yeye ndiye ameshauri, ambapo miongoni mwa wachezaji waliokwishazungumza nasi, wawili atakuja nao mwenyewe pamoja na kocha wa viungo.
“Atakuja na kiungo mkabaji pamoja na straika mkali wa mabao, pia ametuelekeza kumsajili beki wa kati na winga ambaye yeye majina anayo,” kilisema chanzo hicho.
Kocha huyo Machi 7, 2021, alijiuzulu kuitumikia RS Berkane na nafasi yake ikachukuliwa na Kocha Juan Pedro Benali, raia wa Hispania, alipoondoka akateuliwa Florent Ibenge ambaye yupo hadi sasa.
Kutimuliwa kwa kocha si kitu cha kustaajabisha, makocha kuwajiriwa ili watimuliwe.Huyo Berkane walimtimua kutokana na matokeo mabovu
| Name | First Name | Nationality |
|---|---|---|
| AMMOUTA | LHOUSSAINE | MOROCCO |
| REGRAGUI | HOALID | MOROCCO |
| FAKHIR | MHAMED | MOROCCO |
| IKWANGE IBENGE | JEAN FLORENT | DR CONGO |
| PITSO | PITSO JOHNNY HAMILTON | SOUTH AFRICA |
| DMIAI | HICHAM | MOROCCO |
| SELLAMI | JAMAL | MOROCCO |
| EZAKI | BADOU | MOROCCO |
| TAOUSSI | RACHID | MOROCCO |
| JRINDOU | ABDELLATIF | MOROCCO |
| EL AZIZ | ABDELMALEK | MOROCCO |
| BENABICHA | HASSAN | MOROCCO |
| FERTOUT | YOUSSEF | MOROCCO |
| SAHABI | FOUAD | MOROCCO |
| EL HADAOUI | MUSTAPHA | MOROCCO |
| SABER | ABDELILAH | MOROCCO |
| TALEB | ABDERAHIM | MOROCCO |
| BENHACHEM | MOHAMED AMINE | MOROCCO |
| SEKTIOUI | TARIK | MOROCCO |
| JAOUANI | MOUNIR | MOROCCO |
| ALIOU | CISSE | SENEGAL |
| AMRI | ABDELAZIZ | MOROCCO |
| KHAIRI | ABDERAZZAK | MOROCCO |
Kama Mourinho anakula sack huyo ni nani asitimuliwe?Huyo Berkane walimtimua kutokana na matokeo mabovu
hii elite list ya makocha africa,hy kozi ni ya juu sn,kuajiri mmoja wapo hapo ni gharamaThe governing body of African football, CAF is currently hosting 23 of the best managers on the continent in the final module of the inaugural CAF Pro License coaching diploma in Rabat, Morocco.
This is done in partnership with the Royal Moroccan Football Federation (RMFF).
A first of its kind for African football, the highest ranking qualification in CAF’s coaching education structures sees the most highly respected football minds on the African continent on course to earning the highest coaching badge by CAF, which is equivalent to any high ranking coaching qualification globally.
This will be first group of graduates when the final module of the course officially comes to an end on Saturday, 11 June after a lengthy journey that started back in 2018.
The CAF Pro License is strictly reserved for coaches who are actively coaching at a professional level, have demonstrated a certain level of high performance and achievement and also acquired a CAF A License or equivalent qualification recognised by CAF.
The list of 23 coaches who were carefully picked through a stringent selection process includes current TotalEnergies CAF inter-club competition winning coaches, Walid Regragui (Champions League winner), Florent Ibenge (Confederation Cup winner) and Pitso Mosimane (three-times Champions League winner), to mention but a few.
Also part of the group, but not present in this course is TotalEnergies Africa Cup of nations AFCON winning coach and former Senegalese captain, Aliou Cisse.
The journey has not been easy for the 23 participants, who are at the final stretch of the course that demanded a high level of participation in the form of assignments and reporting during what has been a very taxing season for some of them in their respective clubs and national teams.
Explaining to CAFOnline.com on the value and importance of this course, CAF’s Director of Development Raul Chipenda said this marked a significant milestone for CAF’s ultimate goal of elevating African football to greater heights.
“Africa should take pride and celebrate this important milestone that we are about to achieve. We have assembled 23 of the best football managers on the continent currently, who are about to graduate and take the African game to even greater heights thanks to knowledge acquired over the last four years” said Chipenda.
“We must also extend our gratitude to the visionary leadership of CAF for making such a course possible. The knowledge that these coaches have acquired, accompanied by their experience can only bode well for the future of African football.”
LIST OF COACHES:
Name First Name Nationality AMMOUTA LHOUSSAINE MOROCCO REGRAGUI HOALID MOROCCO FAKHIR MHAMED MOROCCO IKWANGE IBENGE JEAN FLORENT DR CONGO PITSO PITSO JOHNNY HAMILTON SOUTH AFRICA DMIAI HICHAM MOROCCO SELLAMI JAMAL MOROCCO EZAKI BADOU MOROCCO TAOUSSI RACHID MOROCCO JRINDOU ABDELLATIF MOROCCO EL AZIZ ABDELMALEK MOROCCO BENABICHA HASSAN MOROCCO FERTOUT YOUSSEF MOROCCO SAHABI FOUAD MOROCCO EL HADAOUI MUSTAPHA MOROCCO SABER ABDELILAH MOROCCO TALEB ABDERAHIM MOROCCO BENHACHEM MOHAMED AMINE MOROCCO SEKTIOUI TARIK MOROCCO JAOUANI MOUNIR MOROCCO ALIOU CISSE SENEGAL AMRI ABDELAZIZ MOROCCO KHAIRI ABDERAZZAK MOROCCO
source : CAF Communication Department
ila aliwapa shirikishoHuyo Berkane walimtimua kutokana na matokeo mabovu
Check wa tano toka chinihii elite list ya makocha africa,hy kozi ni ya juu sn,kuajiri mmoja wapo hapo ni gharama
yeah nimeona,hao ni makocha bora africa,ssc ikimpata huyo na wakampa muda na uhuru ,bajeti wanafikia lengoCheck wa tano toka chini
Hii ni list ya mchongo kabisa haiwezekani Nabi akosekane.The governing body of African football, CAF is currently hosting 23 of the best managers on the continent in the final module of the inaugural CAF Pro License coaching diploma in Rabat, Morocco.LIST OF COACHES:
This is done in partnership with the Royal Moroccan Football Federation (RMFF).
A first of its kind for African football, the highest ranking qualification in CAF’s coaching education structures sees the most highly respected football minds on the African continent on course to earning the highest coaching badge by CAF, which is equivalent to any high ranking coaching qualification globally.
This will be first group of graduates when the final module of the course officially comes to an end on Saturday, 11 June after a lengthy journey that started back in 2018.
The CAF Pro License is strictly reserved for coaches who are actively coaching at a professional level, have demonstrated a certain level of high performance and achievement and also acquired a CAF A License or equivalent qualification recognised by CAF.
The list of 23 coaches who were carefully picked through a stringent selection process includes current TotalEnergies CAF inter-club competition winning coaches, Walid Regragui (Champions League winner), Florent Ibenge (Confederation Cup winner) and Pitso Mosimane (three-times Champions League winner), to mention but a few.
The journey has not been easy for the 23 participants, who are at the final stretch of the course that demanded a high level of participation in the form of assignments and reporting during what has been a very taxing season for some of them in their respective clubs and national teams.
Explaining to CAFOnline.com on the value and importance of this course, CAF’s Director of Development Raul Chipenda said this marked a significant milestone for CAF’s ultimate goal of elevating African football to greater heights.
“Africa should take pride and celebrate this important milestone that we are about to achieve. We have assembled 23 of the best football managers on the continent currently, who are about to graduate and take the African game to even greater heights thanks to knowledge acquired over the last four years” said Chipenda. “We must also extend our gratitude to the visionary leadership of CAF for making such a course possible. The knowledge that these coaches have acquired, accompanied by their experience can only bode well for the future of African football.”
Name First Name Nationality AMMOUTA LHOUSSAINE MOROCCO REGRAGUI HOALID MOROCCO FAKHIR MHAMED MOROCCO IKWANGE IBENGE JEAN FLORENT DR CONGO PITSO PITSO JOHNNY HAMILTON SOUTH AFRICA DMIAI HICHAM MOROCCO SELLAMI JAMAL MOROCCO EZAKI BADOU MOROCCO TAOUSSI RACHID MOROCCO JRINDOU ABDELLATIF MOROCCO EL AZIZ ABDELMALEK MOROCCO BENABICHA HASSAN MOROCCO FERTOUT YOUSSEF MOROCCO SAHABI FOUAD MOROCCO EL HADAOUI MUSTAPHA MOROCCO SABER ABDELILAH MOROCCO TALEB ABDERAHIM MOROCCO BENHACHEM MOHAMED AMINE MOROCCO SEKTIOUI TARIK MOROCCO JAOUANI MOUNIR MOROCCO ALIOU CISSE SENEGAL AMRI ABDELAZIZ MOROCCO KHAIRI ABDERAZZAK MOROCCO
source : CAF Communication Department