Yvone Chakachaka

Yvone Chakachaka

20PROFF

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2013
Posts
8,217
Reaction score
7,255
Huyu mwanamama alitengeneza nyimbo kali sana,
nikicheki picha ya huyu mrembo nakumbuka ngoma hizi zake kali sana
umqombothi, motherland,makoti , im in love with a dj, Sangoma

ipi ilikuwa hot kwako, mwenye nazo aweke tupakue wakuu
 

Attachments

  • images.jpg
    images.jpg
    9.3 KB · Views: 341
Huyu mwanamama alitengeneza nyimbo kali sana,
nikicheki picha ya huyu mrembo nakumbuka ngoma hizi zake kali sana
umqombothi, motherland,makoti , im in love with a dj, Sangoma

ipi ilikuwa hot kwako, mwenye nazo aweke tupakue wakuu

ndombolo ya solo
 
Chakachaka na Mbilia Bell kwangu ni wanamuziki bora wanamama Afrika..
 

Achana kabisa na huyu mama.Yuko juu mpaka leo
 
Last edited by a moderator:
Bila ya kumsahau Miriam Makeba, Ana nafasi yake katika muziki wa africa


huyu yvone kapewa title ya princess of Africa kutokana na music na harakati zake.
 
Last edited by a moderator:
Ingia you tube utakuta playlist zake audio, mmama alikuwa tight sana
 
Huu wimbo wake ulitikisa sana Afrika.

 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom