Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,745
Niliwaambia Manji anaitumia Yanga kisiasa ili aje agombee nafasi moja kubwa hapo baadaye. Wengi wananibishia.
Manji atakagombea Udiwani, atashinda. then atakuja kugombea UMEYA WA JIJI LA DAR. ATASHINDA PIA. HIVYO Mjue YUSUFU MANJI ni Meya Mpya wa Jiji la Dar Mwaka Huu.
Manji atakagombea Udiwani, atashinda. then atakuja kugombea UMEYA WA JIJI LA DAR. ATASHINDA PIA. HIVYO Mjue YUSUFU MANJI ni Meya Mpya wa Jiji la Dar Mwaka Huu.