Yusufu Manji kwaheri!

Yusufu Manji kwaheri!

Nadhani yanayowakuta mliyataka wenyewe wana Yanga alipojiuzulu Nchunga mkaona uongozi mumpe tajiri matokeo yake klabu imekuwa anaiendesha kama kampuni yake,kamati ya utendaji iliyochaguliwa na wanachama kwa mujibu wa katiba ambayo ndiyo inapanga mipango ya klabu haikutani ni kama vile umevunjwa.Mnadhani klabu itakuwa na mafanikio kweli?
 
Mawwazo ya kijinga haya, uzembe wa kipa, ni kuwa Manji alimwambia toka golini?
 
Mawwazo ya kijinga haya, uzembe wa kipa, ni kuwa Manji alimwambia toka golini?

acheni kumrushia bathez paka wa uso! Kwa jinsi alivyokuwa anakuja okwi kipa yeyote lazima angejua okwi atasogea zaidi kwa sababu alikuwa hana mtu wa kumpa pasi hivyo alichokifanya bathez ni kulipunguza goli ambapo kipa yeyote angefanya!!

Usimlaumu bathez ila msifie mfungaji kwani alichukua maamuzi magumu kuupiga ule mpira tena akiwa chini ya ulinzi mkali.

Mimi ni kipa na sioni kosa la bathez
 
Back
Top Bottom