wa hapahapa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 7,460
- 4,402
Mawazo ya kibangi bangi.
cjui Manji anacheza mpira ?.
wapo makocha + viongozi.
Mawazo ya kibangi bangi.
naipenda simba mshabiki wa damuii
huu uzi kwa wana jangwan.
usitukumbushe ya jana.
Jana Simba ilinipa furaha ya Jumapili ila dakika za mwishoni alivoingia Maguli nilihisi goli linarudishwa,jamaa yule huwa simuamini katika uchezaji wake..hana control ya mpira napokuwa na adui,sijui ni mfumo tu au hawezi kabisa kucheza Simba nguvu bila plan is nothingnaipenda simba mshabiki wa damuuuuuuuuii
Tuachie yanga yetu usije ukatuua kwa shinikizo la damu au sonona, timu haiitaji fedha, inahitaji spirit!
Tumekuvumilia sana tumekuchoka.
#Manjiout
Vumilieni tu manake mnafukuza kila mkifungwa mnafukuza makocha. Tangu lini Mhindi akawa kiongozi wa timu ya wananchi!
Mmesahau historia ya Yanga na sasa mnakumbatia wenye fedha
Pole kamanda. Manji ameshindwa kabisa kuifunga simba.Hata simba ingefungwa japo haiongozwi na mhindi hali ingekua hiyohiyo ya kuumia ukifungwa hasa na mtani wako wa jadi. Wanyanga tuwe watulivu yaliyo pita sindwele tu gange yajayo
Yanga imecheza 'CUF'..........................................................IMEVUNA NINIsimba ina misimu mingapi haijacheza mechi za caf kuifunga yanga imewasaidia nn zaid ya sifa za hapa hapa nyumbani
Naskia Jerry Muro anasema lile goli Okwi hakufunga yeye, eti kuna kitu kilinyanyua ule mpira na kuurusha golini...!!!!!!!! Kama ni kweli, hii inatisha kabisa
ni akili za kichina kudhani ubora wa yanga ni kuifunga simba and vice versa. kama team ibaongoza league unataka nn zaid ya hilo
Naskia Jerry Muro anasema lile goli Okwi hakufunga yeye, eti kuna kitu kilinyanyua ule mpira na kuurusha golini...!!!!!!!! Kama ni kweli, hii inatisha kabisa
Kabla ya Manji Yanga ilikuwepo mkuu.
Tuachie yanga yetu usije ukatuua kwa shinikizo la damu au sonona, timu haiitaji fedha, inahitaji spirit!
Tumekuvumilia sana tumekuchoka.
#Manjiout
Vumilieni tu manake mnafukuza kila mkifungwa mnafukuza makocha. Tangu lini Mhindi akawa kiongozi wa timu ya wananchi!
Mmesahau historia ya Yanga na sasa mnakumbatia wenye fedha
Mmeshalemaa ndio maana anawapelekesha.
Yeye ndio sauti ya mwisho. Hakuna anayepiga chafya au kujamba bila amri yake. Ndio maana mnampigia magoti.
Yanga unayoizungumzia wewe haipo mmebaki vikaragosi vya kupelekeshwa. Hata baada ya mechi hii hakuna atakayethubutu kusema chochote. Mark my words. Sana sana atatimuliwa kocha.
Tuachie yanga yetu usije ukatuua kwa shinikizo la damu au sonona, timu haiitaji fedha, inahitaji spirit!
Tumekuvumilia sana tumekuchoka.
#Manjiout