Kujenga Uwanja wa Mpira Jangwani ni mkakati zaidi

Goheki

JF-Expert Member
Aug 23, 2011
448
387
Yanga Infrastructure Development Plan 2019

Ndugu yangu Jemedari Said Kazumari hebu acha kupotosha umma kwa taaluma isiyo yako.
Hebu ngoja tukuelimishe juu ya jambo hili ili records ziweze kukaa sawa kwako na wengine ambao wanaweza kupotosha kwa au kutokuelewa au kwa makusudi wanayojua wao.

1. Muongozo wa mahitaji ya uwanja wa mechi unatolewa na FIFA kupitia muongozo unaoitwa; FIFA Football; Technical Recommendations and Requirements; Mahitaji ya Uwanja wenye uwezo wa kubeba Mashabiki 20,000 au 30,000 unahitaji eneo la ardhi lenye zaidi ya hekari 10. Hivyo basi hekari 7 za Yanga zilizopo Kigamboni kwa mujibu wa muongozo wa FIFA haziwezi kukidhi vigezo hivyo kwa uwanja wa mechi kama mawazo yako finyu yanavyotaka. Mfano je utajenga uwanja bila maegesho (parking) pamoja na huduma nyingine muhimu za jamii?
Je utajenga Uwanja wa mechi bila majukwaa?;

2. Mwaka 2019/20 klabu ya Yanga kupitia Kamati ya Ujenzi na Miundombinu ambayo Rais wa Sasa wa Yanga Eng. Hersi Ally Said alikuwa ni mjumbe kwenye Kamati hiyo tena kwa TAALUMA YAKE YA KIHANDISI waliandaa Mkakati Kabambe wa uendelezaji wa Miundombinu ya klabu ya Yanga ulioitwa; Yanga Infrastructure Development Plan;

3. Ndani ya mkakati huo; kulikuwa na mkakati wa muda mrefu ambao ulikuwa ni kujenga uwanja wa mechi eneo la Jangwani;
Mkakati wa muda wa Kati ulikuwa ni kujenga kituo cha mazoezi na hostel za wachezaji eneo la Kigamboni; na zabuni iliyowahi kutangazwa wakati huo ilikuwa ni kwa ajili ya kazi ya ujenzi wa hostel na uwanja wa mazoezi. Sasa wewe Jemedari Said Kazumari kwanini unapotosha umma kuwa Yanga walitaka kujenga uwanja wa mechi Kigamboni?
Hivi unapotosha umma kwa lengo lipi na faida ipi?

4. Mkakati wa muda mfupi ulikuwa ni kukarabati jengo la Yanga pale Makao Makuu ya Klabu mtaa wa Twiga na Jangwani kwa kujenga duka la kuuzia jezi la klabu;

5. Hivyo basi Eng. Hersi Ally Said kwa taaluma yale na wadhifa wake kama Rais wa Klabu anaposimama mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (Mh. Samia Suluhu Hasani) kuomba eneo la nyongeza litakalokidhi mahitaji kwa Viwango vya FIFA pale Jangwani hupo sawa kabisa kwasababu anajua kwa mujibu wa mahitaji ya uwanja wa mechi kwa viwango vya FIFA na ili uwanja uruhusiwe kutumika kwenye mashindano ya kimataifa kama AFCON ni lazima hekari ziwe zaidi ya 12 na kuendelea ili kukidhi mahitaji yao. Wewe Jemedari Said Kazumari unampinga Rais wa Klabu ya Yanga ambaye Kitaaluma ni Mhandisi nawe ni Mchambuzi sina uhakika kwa taaluma au la unawezaje kumkosoa wakati wewe wala sio fundi mchundo? Jikite na kutoa taarifa sahihi kwa umma badala ya kupotosha braza na kuacha taaluma zitamalaki.

6. Rais wa Yanga, Eng. Hersi Ally Said sio tu kuwa ameomba eneo ila ameelezea kwa ufasaha kuwa ndoto ya Hayati Mzee Abeid Aman Karume na waasisi wengine wa klabu ya Yanga ndoto yao ilikuwa ni kuona Jangwani kunakuwa na uwanja wa kisasa. Hivyo basi yeye akiwa kama Rais wa Klabu kijana anawiwa kusimamia ndoto hiyo leo ili kukamilisha maono ya wazee wetu. Sasa wewe Jemedari Said Kazumari unaposema hakuna haja ya Yanga kuongezewa eneo pale Jangwani unaongozwa na misingi ipi? Ya chuki au kufitinisha Yanga na Mamlaka za nchi? Acha kuingiza masuala yaliyo nje ya uwezo wa taaluma yako kaka.

7. Eneo la Jangwani lilipo ni eneo la kimkakati ambalo lipo kwenye lCentral Business District (CBD) hivyo basi kupitia mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) au Mwendokasi ni eneo linalofikika kirahisi kutoka pande zote za jiji la Dar es Salaam. Hivyo basi unaweza kujenga uwanja na mechi kupangwa muda wowote hata usiku. Kitendo cha kujenga Uwanja pale ni mradi utakaolipa kwenye uwekezaji. Eneo la Kigamboni ilivyokaa ni eneo lenye utulivu hivyo panafaa kubaki kwa mipango ya hostel;

8. Wananchi tuachane na porojo za Jemedari Said Kazumari kwasababu hazina mantiki, hazina muktadha wala hazina nia njema. Ni habari za upotoshaji zenye kulenga kujenga uhasama na mtafaruku tu huenda kwa utashi wake au maelekezo ya anaowajua yeye.

9. Wananchi tuungane na uongozi wetu chini ya Rais wa Klabu yetu kwenda mbele pamoja. Tusimame na uongozi wetu tupuuze Upotoshaji wa huyu Bwana ambaye hadi natoa elimu hii hata sijui kabisa huyu mtu Klabu ya Yanga ilimkosea nini.

10. Daima Mbele, Nyuma Mwiko
 
Yanga Infrastructure Development Plan 2019

Ndugu yangu Jemedari Said Kazumari hebu acha kupotosha umma kwa taaluma isiyo yako.
Hebu ngoja tukuelimishe juu ya jambo hili ili records ziweze kukaa sawa kwako na wengine ambao wanaweza kupotosha kwa au kutokuelewa au kwa makusudi wanayojua wao.

1. Muongozo wa mahitaji ya uwanja wa mechi unatolewa na FIFA kupitia muongozo unaoitwa; FIFA Football; Technical Recommendations and Requirements; Mahitaji ya Uwanja wenye uwezo wa kubeba Mashabiki 20,000 au 30,000 unahitaji eneo la ardhi lenye zaidi ya hekari 10. Hivyo basi hekari 7 za Yanga zilizopo Kigamboni kwa mujibu wa muongozo wa FIFA haziwezi kukidhi vigezo hivyo kwa uwanja wa mechi kama mawazo yako finyu yanavyotaka. Mfano je utajenga uwanja bila maegesho (parking) pamoja na huduma nyingine muhimu za jamii?
Je utajenga Uwanja wa mechi bila majukwaa?;

2. Mwaka 2019/20 klabu ya Yanga kupitia Kamati ya Ujenzi na Miundombinu ambayo Rais wa Sasa wa Yanga Eng. Hersi Ally Said alikuwa ni mjumbe kwenye Kamati hiyo tena kwa TAALUMA YAKE YA KIHANDISI waliandaa Mkakati Kabambe wa uendelezaji wa Miundombinu ya klabu ya Yanga ulioitwa; Yanga Infrastructure Development Plan;

3. Ndani ya mkakati huo; kulikuwa na mkakati wa muda mrefu ambao ulikuwa ni kujenga uwanja wa mechi eneo la Jangwani;
Mkakati wa muda wa Kati ulikuwa ni kujenga kituo cha mazoezi na hostel za wachezaji eneo la Kigamboni; na zabuni iliyowahi kutangazwa wakati huo ilikuwa ni kwa ajili ya kazi ya ujenzi wa hostel na uwanja wa mazoezi. Sasa wewe Jemedari Said Kazumari kwanini unapotosha umma kuwa Yanga walitaka kujenga uwanja wa mechi Kigamboni?
Hivi unapotosha umma kwa lengo lipi na faida ipi?

4. Mkakati wa muda mfupi ulikuwa ni kukarabati jengo la Yanga pale Makao Makuu ya Klabu mtaa wa Twiga na Jangwani kwa kujenga duka la kuuzia jezi la klabu;

5. Hivyo basi Eng. Hersi Ally Said kwa taaluma yale na wadhifa wake kama Rais wa Klabu anaposimama mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (Mh. Samia Suluhu Hasani) kuomba eneo la nyongeza litakalokidhi mahitaji kwa Viwango vya FIFA pale Jangwani hupo sawa kabisa kwasababu anajua kwa mujibu wa mahitaji ya uwanja wa mechi kwa viwango vya FIFA na ili uwanja uruhusiwe kutumika kwenye mashindano ya kimataifa kama AFCON ni lazima hekari ziwe zaidi ya 12 na kuendelea ili kukidhi mahitaji yao. Wewe Jemedari Said Kazumari unampinga Rais wa Klabu ya Yanga ambaye Kitaaluma ni Mhandisi nawe ni Mchambuzi sina uhakika kwa taaluma au la unawezaje kumkosoa wakati wewe wala sio fundi mchundo? Jikite na kutoa taarifa sahihi kwa umma badala ya kupotosha braza na kuacha taaluma zitamalaki.

6. Rais wa Yanga, Eng. Hersi Ally Said sio tu kuwa ameomba eneo ila ameelezea kwa ufasaha kuwa ndoto ya Hayati Mzee Abeid Aman Karume na waasisi wengine wa klabu ya Yanga ndoto yao ilikuwa ni kuona Jangwani kunakuwa na uwanja wa kisasa. Hivyo basi yeye akiwa kama Rais wa Klabu kijana anawiwa kusimamia ndoto hiyo leo ili kukamilisha maono ya wazee wetu. Sasa wewe Jemedari Said Kazumari unaposema hakuna haja ya Yanga kuongezewa eneo pale Jangwani unaongozwa na misingi ipi? Ya chuki au kufitinisha Yanga na Mamlaka za nchi? Acha kuingiza masuala yaliyo nje ya uwezo wa taaluma yako kaka.

7. Eneo la Jangwani lilipo ni eneo la kimkakati ambalo lipo kwenye lCentral Business District (CBD) hivyo basi kupitia mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) au Mwendokasi ni eneo linalofikika kirahisi kutoka pande zote za jiji la Dar es Salaam. Hivyo basi unaweza kujenga uwanja na mechi kupangwa muda wowote hata usiku. Kitendo cha kujenga Uwanja pale ni mradi utakaolipa kwenye uwekezaji. Eneo la Kigamboni ilivyokaa ni eneo lenye utulivu hivyo panafaa kubaki kwa mipango ya hostel;

8. Wananchi tuachane na porojo za Jemedari Said Kazumari kwasababu hazina mantiki, hazina muktadha wala hazina nia njema. Ni habari za upotoshaji zenye kulenga kujenga uhasama na mtafaruku tu huenda kwa utashi wake au maelekezo ya anaowajua yeye.

9. Wananchi tuungane na uongozi wetu chini ya Rais wa Klabu yetu kwenda mbele pamoja. Tusimame na uongozi wetu tupuuze Upotoshaji wa huyu Bwana ambaye hadi natoa elimu hii hata sijui kabisa huyu mtu Klabu ya Yanga ilimkosea nini.

10. Daima Mbele, Nyuma Mwiko
Uko vizuri kiongozi
 
Huyu jamaa kwa siku za karibuni amevuma sana akiwa kinyume na yanga Kwenye mambo ya fei Toto , Michuano ya cafcc , mambo ya uwanja Kama mleta mada ulivyoelezea nk
Je anania kweli ya kukosoa ili kurekebisha au ni chawa wa kuleta migogoro yanga yenye mipango Mizuri na mafaniko ndani na nje ya uwanja ?
 
Kuna jinga moja humu jukwaani lilinipinga kwamba nimeleta mada kwa mihemko niliposema Jemedari ni aina ya watu wenye chuki na roho mbaya.

Huyu jamaa utagundua sio mtu anaepinga kwa kutumia akili na kujenga hoja yeye anaendeshwa na chuki binafsi zisizo na faida kwa maendeleo ya mpira wetu.
 
Nilichoka neno state of the art lilimshinda kurudia kama alivosema Engineer Hersi jamaa akaishia kusema "uwanja wa art ninini sijui"😀😀. Nikajisemea mule hamnamo mtangazaji
 
Yanga Infrastructure Development Plan 2019

Ndugu yangu Jemedari Said Kazumari hebu acha kupotosha umma kwa taaluma isiyo yako.
Hebu ngoja tukuelimishe juu ya jambo hili ili records ziweze kukaa sawa kwako na wengine ambao wanaweza kupotosha kwa au kutokuelewa au kwa makusudi wanayojua wao.

1. Muongozo wa mahitaji ya uwanja wa mechi unatolewa na FIFA kupitia muongozo unaoitwa; FIFA Football; Technical Recommendations and Requirements; Mahitaji ya Uwanja wenye uwezo wa kubeba Mashabiki 20,000 au 30,000 unahitaji eneo la ardhi lenye zaidi ya hekari 10. Hivyo basi hekari 7 za Yanga zilizopo Kigamboni kwa mujibu wa muongozo wa FIFA haziwezi kukidhi vigezo hivyo kwa uwanja wa mechi kama mawazo yako finyu yanavyotaka. Mfano je utajenga uwanja bila maegesho (parking) pamoja na huduma nyingine muhimu za jamii?
Je utajenga Uwanja wa mechi bila majukwaa?;

2. Mwaka 2019/20 klabu ya Yanga kupitia Kamati ya Ujenzi na Miundombinu ambayo Rais wa Sasa wa Yanga Eng. Hersi Ally Said alikuwa ni mjumbe kwenye Kamati hiyo tena kwa TAALUMA YAKE YA KIHANDISI waliandaa Mkakati Kabambe wa uendelezaji wa Miundombinu ya klabu ya Yanga ulioitwa; Yanga Infrastructure Development Plan;

3. Ndani ya mkakati huo; kulikuwa na mkakati wa muda mrefu ambao ulikuwa ni kujenga uwanja wa mechi eneo la Jangwani;
Mkakati wa muda wa Kati ulikuwa ni kujenga kituo cha mazoezi na hostel za wachezaji eneo la Kigamboni; na zabuni iliyowahi kutangazwa wakati huo ilikuwa ni kwa ajili ya kazi ya ujenzi wa hostel na uwanja wa mazoezi. Sasa wewe Jemedari Said Kazumari kwanini unapotosha umma kuwa Yanga walitaka kujenga uwanja wa mechi Kigamboni?
Hivi unapotosha umma kwa lengo lipi na faida ipi?

4. Mkakati wa muda mfupi ulikuwa ni kukarabati jengo la Yanga pale Makao Makuu ya Klabu mtaa wa Twiga na Jangwani kwa kujenga duka la kuuzia jezi la klabu;

5. Hivyo basi Eng. Hersi Ally Said kwa taaluma yale na wadhifa wake kama Rais wa Klabu anaposimama mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (Mh. Samia Suluhu Hasani) kuomba eneo la nyongeza litakalokidhi mahitaji kwa Viwango vya FIFA pale Jangwani hupo sawa kabisa kwasababu anajua kwa mujibu wa mahitaji ya uwanja wa mechi kwa viwango vya FIFA na ili uwanja uruhusiwe kutumika kwenye mashindano ya kimataifa kama AFCON ni lazima hekari ziwe zaidi ya 12 na kuendelea ili kukidhi mahitaji yao. Wewe Jemedari Said Kazumari unampinga Rais wa Klabu ya Yanga ambaye Kitaaluma ni Mhandisi nawe ni Mchambuzi sina uhakika kwa taaluma au la unawezaje kumkosoa wakati wewe wala sio fundi mchundo? Jikite na kutoa taarifa sahihi kwa umma badala ya kupotosha braza na kuacha taaluma zitamalaki.

6. Rais wa Yanga, Eng. Hersi Ally Said sio tu kuwa ameomba eneo ila ameelezea kwa ufasaha kuwa ndoto ya Hayati Mzee Abeid Aman Karume na waasisi wengine wa klabu ya Yanga ndoto yao ilikuwa ni kuona Jangwani kunakuwa na uwanja wa kisasa. Hivyo basi yeye akiwa kama Rais wa Klabu kijana anawiwa kusimamia ndoto hiyo leo ili kukamilisha maono ya wazee wetu. Sasa wewe Jemedari Said Kazumari unaposema hakuna haja ya Yanga kuongezewa eneo pale Jangwani unaongozwa na misingi ipi? Ya chuki au kufitinisha Yanga na Mamlaka za nchi? Acha kuingiza masuala yaliyo nje ya uwezo wa taaluma yako kaka.

7. Eneo la Jangwani lilipo ni eneo la kimkakati ambalo lipo kwenye lCentral Business District (CBD) hivyo basi kupitia mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) au Mwendokasi ni eneo linalofikika kirahisi kutoka pande zote za jiji la Dar es Salaam. Hivyo basi unaweza kujenga uwanja na mechi kupangwa muda wowote hata usiku. Kitendo cha kujenga Uwanja pale ni mradi utakaolipa kwenye uwekezaji. Eneo la Kigamboni ilivyokaa ni eneo lenye utulivu hivyo panafaa kubaki kwa mipango ya hostel;

8. Wananchi tuachane na porojo za Jemedari Said Kazumari kwasababu hazina mantiki, hazina muktadha wala hazina nia njema. Ni habari za upotoshaji zenye kulenga kujenga uhasama na mtafaruku tu huenda kwa utashi wake au maelekezo ya anaowajua yeye.

9. Wananchi tuungane na uongozi wetu chini ya Rais wa Klabu yetu kwenda mbele pamoja. Tusimame na uongozi wetu tupuuze Upotoshaji wa huyu Bwana ambaye hadi natoa elimu hii hata sijui kabisa huyu mtu Klabu ya Yanga ilimkosea nini.

10. Daima Mbele, Nyuma Mwiko
Ila Mimi binafsi nawashangaa mnaomtilia maanani Jemadari Said. Yule anafaa kupuuzwa tu maana kichwani Hana analojua zaidi ya kuchuma Kwa mgongo wa wasioweza kujiongoza.
 
Yanga bwana, eti "Yanga Infrastructure Development Plan 2019", sijui mmejikuta kama Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela 😂🤣😂
 
Yanga Infrastructure Development Plan 2019

Ndugu yangu Jemedari Said Kazumari hebu acha kupotosha umma kwa taaluma isiyo yako.
Hebu ngoja tukuelimishe juu ya jambo hili ili records ziweze kukaa sawa kwako na wengine ambao wanaweza kupotosha kwa au kutokuelewa au kwa makusudi wanayojua wao.

1. Muongozo wa mahitaji ya uwanja wa mechi unatolewa na FIFA kupitia muongozo unaoitwa; FIFA Football; Technical Recommendations and Requirements; Mahitaji ya Uwanja wenye uwezo wa kubeba Mashabiki 20,000 au 30,000 unahitaji eneo la ardhi lenye zaidi ya hekari 10. Hivyo basi hekari 7 za Yanga zilizopo Kigamboni kwa mujibu wa muongozo wa FIFA haziwezi kukidhi vigezo hivyo kwa uwanja wa mechi kama mawazo yako finyu yanavyotaka. Mfano je utajenga uwanja bila maegesho (parking) pamoja na huduma nyingine muhimu za jamii?
Je utajenga Uwanja wa mechi bila majukwaa?;

2. Mwaka 2019/20 klabu ya Yanga kupitia Kamati ya Ujenzi na Miundombinu ambayo Rais wa Sasa wa Yanga Eng. Hersi Ally Said alikuwa ni mjumbe kwenye Kamati hiyo tena kwa TAALUMA YAKE YA KIHANDISI waliandaa Mkakati Kabambe wa uendelezaji wa Miundombinu ya klabu ya Yanga ulioitwa; Yanga Infrastructure Development Plan;

3. Ndani ya mkakati huo; kulikuwa na mkakati wa muda mrefu ambao ulikuwa ni kujenga uwanja wa mechi eneo la Jangwani;
Mkakati wa muda wa Kati ulikuwa ni kujenga kituo cha mazoezi na hostel za wachezaji eneo la Kigamboni; na zabuni iliyowahi kutangazwa wakati huo ilikuwa ni kwa ajili ya kazi ya ujenzi wa hostel na uwanja wa mazoezi. Sasa wewe Jemedari Said Kazumari kwanini unapotosha umma kuwa Yanga walitaka kujenga uwanja wa mechi Kigamboni?
Hivi unapotosha umma kwa lengo lipi na faida ipi?

4. Mkakati wa muda mfupi ulikuwa ni kukarabati jengo la Yanga pale Makao Makuu ya Klabu mtaa wa Twiga na Jangwani kwa kujenga duka la kuuzia jezi la klabu;

5. Hivyo basi Eng. Hersi Ally Said kwa taaluma yale na wadhifa wake kama Rais wa Klabu anaposimama mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (Mh. Samia Suluhu Hasani) kuomba eneo la nyongeza litakalokidhi mahitaji kwa Viwango vya FIFA pale Jangwani hupo sawa kabisa kwasababu anajua kwa mujibu wa mahitaji ya uwanja wa mechi kwa viwango vya FIFA na ili uwanja uruhusiwe kutumika kwenye mashindano ya kimataifa kama AFCON ni lazima hekari ziwe zaidi ya 12 na kuendelea ili kukidhi mahitaji yao. Wewe Jemedari Said Kazumari unampinga Rais wa Klabu ya Yanga ambaye Kitaaluma ni Mhandisi nawe ni Mchambuzi sina uhakika kwa taaluma au la unawezaje kumkosoa wakati wewe wala sio fundi mchundo? Jikite na kutoa taarifa sahihi kwa umma badala ya kupotosha braza na kuacha taaluma zitamalaki.

6. Rais wa Yanga, Eng. Hersi Ally Said sio tu kuwa ameomba eneo ila ameelezea kwa ufasaha kuwa ndoto ya Hayati Mzee Abeid Aman Karume na waasisi wengine wa klabu ya Yanga ndoto yao ilikuwa ni kuona Jangwani kunakuwa na uwanja wa kisasa. Hivyo basi yeye akiwa kama Rais wa Klabu kijana anawiwa kusimamia ndoto hiyo leo ili kukamilisha maono ya wazee wetu. Sasa wewe Jemedari Said Kazumari unaposema hakuna haja ya Yanga kuongezewa eneo pale Jangwani unaongozwa na misingi ipi? Ya chuki au kufitinisha Yanga na Mamlaka za nchi? Acha kuingiza masuala yaliyo nje ya uwezo wa taaluma yako kaka.

7. Eneo la Jangwani lilipo ni eneo la kimkakati ambalo lipo kwenye lCentral Business District (CBD) hivyo basi kupitia mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) au Mwendokasi ni eneo linalofikika kirahisi kutoka pande zote za jiji la Dar es Salaam. Hivyo basi unaweza kujenga uwanja na mechi kupangwa muda wowote hata usiku. Kitendo cha kujenga Uwanja pale ni mradi utakaolipa kwenye uwekezaji. Eneo la Kigamboni ilivyokaa ni eneo lenye utulivu hivyo panafaa kubaki kwa mipango ya hostel;

8. Wananchi tuachane na porojo za Jemedari Said Kazumari kwasababu hazina mantiki, hazina muktadha wala hazina nia njema. Ni habari za upotoshaji zenye kulenga kujenga uhasama na mtafaruku tu huenda kwa utashi wake au maelekezo ya anaowajua yeye.

9. Wananchi tuungane na uongozi wetu chini ya Rais wa Klabu yetu kwenda mbele pamoja. Tusimame na uongozi wetu tupuuze Upotoshaji wa huyu Bwana ambaye hadi natoa elimu hii hata sijui kabisa huyu mtu Klabu ya Yanga ilimkosea nini.

10. Daima Mbele, Nyuma Mwiko
binti kazumari ni wa kumpuuza km andazi
 
Sidhani Kuna haja ya kuwaza anaongea Nini huyu std iv.mtu mjinga kuliko wote miongoni wapiga kelele wachambuzi wasio na ufahamu na tasnia ya football
 
Yanga Infrastructure Development Plan 2019

Ndugu yangu Jemedari Said Kazumari hebu acha kupotosha umma kwa taaluma isiyo yako.
Hebu ngoja tukuelimishe juu ya jambo hili ili records ziweze kukaa sawa kwako na wengine ambao wanaweza kupotosha kwa au kutokuelewa au kwa makusudi wanayojua wao.

1. Muongozo wa mahitaji ya uwanja wa mechi unatolewa na FIFA kupitia muongozo unaoitwa; FIFA Football; Technical Recommendations and Requirements; Mahitaji ya Uwanja wenye uwezo wa kubeba Mashabiki 20,000 au 30,000 unahitaji eneo la ardhi lenye zaidi ya hekari 10. Hivyo basi hekari 7 za Yanga zilizopo Kigamboni kwa mujibu wa muongozo wa FIFA haziwezi kukidhi vigezo hivyo kwa uwanja wa mechi kama mawazo yako finyu yanavyotaka. Mfano je utajenga uwanja bila maegesho (parking) pamoja na huduma nyingine muhimu za jamii?
Je utajenga Uwanja wa mechi bila majukwaa?;

2. Mwaka 2019/20 klabu ya Yanga kupitia Kamati ya Ujenzi na Miundombinu ambayo Rais wa Sasa wa Yanga Eng. Hersi Ally Said alikuwa ni mjumbe kwenye Kamati hiyo tena kwa TAALUMA YAKE YA KIHANDISI waliandaa Mkakati Kabambe wa uendelezaji wa Miundombinu ya klabu ya Yanga ulioitwa; Yanga Infrastructure Development Plan;

3. Ndani ya mkakati huo; kulikuwa na mkakati wa muda mrefu ambao ulikuwa ni kujenga uwanja wa mechi eneo la Jangwani;
Mkakati wa muda wa Kati ulikuwa ni kujenga kituo cha mazoezi na hostel za wachezaji eneo la Kigamboni; na zabuni iliyowahi kutangazwa wakati huo ilikuwa ni kwa ajili ya kazi ya ujenzi wa hostel na uwanja wa mazoezi. Sasa wewe Jemedari Said Kazumari kwanini unapotosha umma kuwa Yanga walitaka kujenga uwanja wa mechi Kigamboni?
Hivi unapotosha umma kwa lengo lipi na faida ipi?

4. Mkakati wa muda mfupi ulikuwa ni kukarabati jengo la Yanga pale Makao Makuu ya Klabu mtaa wa Twiga na Jangwani kwa kujenga duka la kuuzia jezi la klabu;

5. Hivyo basi Eng. Hersi Ally Said kwa taaluma yale na wadhifa wake kama Rais wa Klabu anaposimama mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (Mh. Samia Suluhu Hasani) kuomba eneo la nyongeza litakalokidhi mahitaji kwa Viwango vya FIFA pale Jangwani hupo sawa kabisa kwasababu anajua kwa mujibu wa mahitaji ya uwanja wa mechi kwa viwango vya FIFA na ili uwanja uruhusiwe kutumika kwenye mashindano ya kimataifa kama AFCON ni lazima hekari ziwe zaidi ya 12 na kuendelea ili kukidhi mahitaji yao. Wewe Jemedari Said Kazumari unampinga Rais wa Klabu ya Yanga ambaye Kitaaluma ni Mhandisi nawe ni Mchambuzi sina uhakika kwa taaluma au la unawezaje kumkosoa wakati wewe wala sio fundi mchundo? Jikite na kutoa taarifa sahihi kwa umma badala ya kupotosha braza na kuacha taaluma zitamalaki.

6. Rais wa Yanga, Eng. Hersi Ally Said sio tu kuwa ameomba eneo ila ameelezea kwa ufasaha kuwa ndoto ya Hayati Mzee Abeid Aman Karume na waasisi wengine wa klabu ya Yanga ndoto yao ilikuwa ni kuona Jangwani kunakuwa na uwanja wa kisasa. Hivyo basi yeye akiwa kama Rais wa Klabu kijana anawiwa kusimamia ndoto hiyo leo ili kukamilisha maono ya wazee wetu. Sasa wewe Jemedari Said Kazumari unaposema hakuna haja ya Yanga kuongezewa eneo pale Jangwani unaongozwa na misingi ipi? Ya chuki au kufitinisha Yanga na Mamlaka za nchi? Acha kuingiza masuala yaliyo nje ya uwezo wa taaluma yako kaka.

7. Eneo la Jangwani lilipo ni eneo la kimkakati ambalo lipo kwenye lCentral Business District (CBD) hivyo basi kupitia mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) au Mwendokasi ni eneo linalofikika kirahisi kutoka pande zote za jiji la Dar es Salaam. Hivyo basi unaweza kujenga uwanja na mechi kupangwa muda wowote hata usiku. Kitendo cha kujenga Uwanja pale ni mradi utakaolipa kwenye uwekezaji. Eneo la Kigamboni ilivyokaa ni eneo lenye utulivu hivyo panafaa kubaki kwa mipango ya hostel;

8. Wananchi tuachane na porojo za Jemedari Said Kazumari kwasababu hazina mantiki, hazina muktadha wala hazina nia njema. Ni habari za upotoshaji zenye kulenga kujenga uhasama na mtafaruku tu huenda kwa utashi wake au maelekezo ya anaowajua yeye.

9. Wananchi tuungane na uongozi wetu chini ya Rais wa Klabu yetu kwenda mbele pamoja. Tusimame na uongozi wetu tupuuze Upotoshaji wa huyu Bwana ambaye hadi natoa elimu hii hata sijui kabisa huyu mtu Klabu ya Yanga ilimkosea nini.

10. Daima Mbele, Nyuma Mwiko
Binafsi nimekuelewa mkuu
 
Yanga Infrastructure Development Plan 2019

Ndugu yangu Jemedari Said Kazumari hebu acha kupotosha umma kwa taaluma isiyo yako.
Hebu ngoja tukuelimishe juu ya jambo hili ili records ziweze kukaa sawa kwako na wengine ambao wanaweza kupotosha kwa au kutokuelewa au kwa makusudi wanayojua wao.

1. Muongozo wa mahitaji ya uwanja wa mechi unatolewa na FIFA kupitia muongozo unaoitwa; FIFA Football; Technical Recommendations and Requirements; Mahitaji ya Uwanja wenye uwezo wa kubeba Mashabiki 20,000 au 30,000 unahitaji eneo la ardhi lenye zaidi ya hekari 10. Hivyo basi hekari 7 za Yanga zilizopo Kigamboni kwa mujibu wa muongozo wa FIFA haziwezi kukidhi vigezo hivyo kwa uwanja wa mechi kama mawazo yako finyu yanavyotaka. Mfano je utajenga uwanja bila maegesho (parking) pamoja na huduma nyingine muhimu za jamii?
Je utajenga Uwanja wa mechi bila majukwaa?;

2. Mwaka 2019/20 klabu ya Yanga kupitia Kamati ya Ujenzi na Miundombinu ambayo Rais wa Sasa wa Yanga Eng. Hersi Ally Said alikuwa ni mjumbe kwenye Kamati hiyo tena kwa TAALUMA YAKE YA KIHANDISI waliandaa Mkakati Kabambe wa uendelezaji wa Miundombinu ya klabu ya Yanga ulioitwa; Yanga Infrastructure Development Plan;

3. Ndani ya mkakati huo; kulikuwa na mkakati wa muda mrefu ambao ulikuwa ni kujenga uwanja wa mechi eneo la Jangwani;
Mkakati wa muda wa Kati ulikuwa ni kujenga kituo cha mazoezi na hostel za wachezaji eneo la Kigamboni; na zabuni iliyowahi kutangazwa wakati huo ilikuwa ni kwa ajili ya kazi ya ujenzi wa hostel na uwanja wa mazoezi. Sasa wewe Jemedari Said Kazumari kwanini unapotosha umma kuwa Yanga walitaka kujenga uwanja wa mechi Kigamboni?
Hivi unapotosha umma kwa lengo lipi na faida ipi?

4. Mkakati wa muda mfupi ulikuwa ni kukarabati jengo la Yanga pale Makao Makuu ya Klabu mtaa wa Twiga na Jangwani kwa kujenga duka la kuuzia jezi la klabu;

5. Hivyo basi Eng. Hersi Ally Said kwa taaluma yale na wadhifa wake kama Rais wa Klabu anaposimama mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (Mh. Samia Suluhu Hasani) kuomba eneo la nyongeza litakalokidhi mahitaji kwa Viwango vya FIFA pale Jangwani hupo sawa kabisa kwasababu anajua kwa mujibu wa mahitaji ya uwanja wa mechi kwa viwango vya FIFA na ili uwanja uruhusiwe kutumika kwenye mashindano ya kimataifa kama AFCON ni lazima hekari ziwe zaidi ya 12 na kuendelea ili kukidhi mahitaji yao. Wewe Jemedari Said Kazumari unampinga Rais wa Klabu ya Yanga ambaye Kitaaluma ni Mhandisi nawe ni Mchambuzi sina uhakika kwa taaluma au la unawezaje kumkosoa wakati wewe wala sio fundi mchundo? Jikite na kutoa taarifa sahihi kwa umma badala ya kupotosha braza na kuacha taaluma zitamalaki.

6. Rais wa Yanga, Eng. Hersi Ally Said sio tu kuwa ameomba eneo ila ameelezea kwa ufasaha kuwa ndoto ya Hayati Mzee Abeid Aman Karume na waasisi wengine wa klabu ya Yanga ndoto yao ilikuwa ni kuona Jangwani kunakuwa na uwanja wa kisasa. Hivyo basi yeye akiwa kama Rais wa Klabu kijana anawiwa kusimamia ndoto hiyo leo ili kukamilisha maono ya wazee wetu. Sasa wewe Jemedari Said Kazumari unaposema hakuna haja ya Yanga kuongezewa eneo pale Jangwani unaongozwa na misingi ipi? Ya chuki au kufitinisha Yanga na Mamlaka za nchi? Acha kuingiza masuala yaliyo nje ya uwezo wa taaluma yako kaka.

7. Eneo la Jangwani lilipo ni eneo la kimkakati ambalo lipo kwenye lCentral Business District (CBD) hivyo basi kupitia mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) au Mwendokasi ni eneo linalofikika kirahisi kutoka pande zote za jiji la Dar es Salaam. Hivyo basi unaweza kujenga uwanja na mechi kupangwa muda wowote hata usiku. Kitendo cha kujenga Uwanja pale ni mradi utakaolipa kwenye uwekezaji. Eneo la Kigamboni ilivyokaa ni eneo lenye utulivu hivyo panafaa kubaki kwa mipango ya hostel;

8. Wananchi tuachane na porojo za Jemedari Said Kazumari kwasababu hazina mantiki, hazina muktadha wala hazina nia njema. Ni habari za upotoshaji zenye kulenga kujenga uhasama na mtafaruku tu huenda kwa utashi wake au maelekezo ya anaowajua yeye.

9. Wananchi tuungane na uongozi wetu chini ya Rais wa Klabu yetu kwenda mbele pamoja. Tusimame na uongozi wetu tupuuze Upotoshaji wa huyu Bwana ambaye hadi natoa elimu hii hata sijui kabisa huyu mtu Klabu ya Yanga ilimkosea nini.

10. Daima Mbele, Nyuma Mwiko
Point kubwa ni uwanja ujengwe jangwa ni sehemu inayofikika kirahisi sana
 
Ila Mimi binafsi nawashangaa mnaomtilia maanani Jemadari Said. Yule anafaa kupuuzwa tu maana kichwani Hana analojua zaidi ya kuchuma Kwa mgongo wa wasioweza kujiongoza.
Hapa ndio unapo kosea, hoja inajibiwa kwa hoja
 
Huo uwanja utajengwa kwa fedha za klabu au kuna wafadhili walishatafutwa?

Maana suala la uwanja Jangwani limeanza kutajwa miaka mingi sana iliyopita, na wakati wa Manji kulikuwa na renders kabisa zikionesha uwanja utavyokuwa...
 
Back
Top Bottom