GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,646
- 109,034
Yaani Matajiri wote waliopita Yanga SC yako ( tena waliokuwa wakimzidi Pesa ) Boss na Tajiri yako Gharib Said Mohammed ( GSM ) Marehemu Mzee Mengi na Panjuani Manji walishindwa leo ndiyo Wewe Mtoto wa juzi tu uweze Kulifanikisha hili?
GENTAMYCINE nilikuwa nakuchora / nakuangalia tu ulivyokuwa Ukiwaokota / Ukiwadanganya wana Yanga SC kuwa utajenga hapo / pale Jangwani Uwanja mkubwa kama wa Barcelona au Real Madrid wakati hata kuwa na Uwanja wenu wa Mazoezi kama walionao Simba SC mmeshindwa na sasa mnataka Kutulazimisha tuamini kuwa mliko sasa Avic Town Kigamboni ndiko Kwenu wakati wenye Akili tunajua huko ni kwa Mstaafu Mmoja mwenye Share ya Umiliki wa hilo Eneo kwa Kushirikiana na aliyekuwa Rais wa Marekani Bush ambaye aliitembelea Tanzania pia Kipindi chake cha Uongozi.
Rais Injinia Hersi Ujenzi tunaanza lini?
GENTAMYCINE nilikuwa nakuchora / nakuangalia tu ulivyokuwa Ukiwaokota / Ukiwadanganya wana Yanga SC kuwa utajenga hapo / pale Jangwani Uwanja mkubwa kama wa Barcelona au Real Madrid wakati hata kuwa na Uwanja wenu wa Mazoezi kama walionao Simba SC mmeshindwa na sasa mnataka Kutulazimisha tuamini kuwa mliko sasa Avic Town Kigamboni ndiko Kwenu wakati wenye Akili tunajua huko ni kwa Mstaafu Mmoja mwenye Share ya Umiliki wa hilo Eneo kwa Kushirikiana na aliyekuwa Rais wa Marekani Bush ambaye aliitembelea Tanzania pia Kipindi chake cha Uongozi.
Rais Injinia Hersi Ujenzi tunaanza lini?