Kumbe tatizo ni viwanja alivyouziwa na bakwata basi harudishi kwa sababu sio kosa lake bali ni kosa la bakwata
Hayo maombi mabaya mlitakiwa kuyaelekeza bakwata sio kwa mtu aliyeuziwa kihalaliHayo yanayompata Manji ni somo tosha kwa wote waliohusika. Na wala hapa hatumtaki avirudishe BAKWATA, kanisome vizuri.
Hazidishiwi mwenye kudhulumu isipokuwa hasara.
Asante kwa ukumbusho mubasharaYussuf Manji ni Muislam na aliwakosea Waislam na ni wajibu wetu kukumbushana.
Toba ni kwa yeyote.
Hayo maombi mabaya mlitakiwa kuyaelekeza bakwata sio kwa mtu aliyeuziwa kihalali
Hakuna binadamu mwenye uwezo wa kumuombea mabaya binadamu mwigine.
Humtakii mema kabisaManji siyo Hindu.
Mwenyeezi Mungu anasameh itakuwa sisi?
modi huu udini dakika 45 zote upo hapa mmefumba macho?