Yupo wapi Wangari Maathai?

Kamtangaze redio one kuwa unamtafuta au peleka picha ITV wamtangaze kwenye taarifa ya jion jiji letu itakusaidia kumpata
 
Wapendwa

Nimetokea kushindwa kuelewa,huyu dada yuko wapi siku hizi, anatumia ID gani,naomba kujua yuko wapi anafanya mishe zipi

Mara ya mwisho kuwasiliana naye hapa JF was mwaka jana,hayuko active kabisa kama zamani, Wangari Maathai popote ulipo ur missed mama
Alikuwa mpambanaji mzuri sana yule dada labda atakuwa bize na kazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom