kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 1,996
- 5,054
🤣🤣We mkaka wewe! Wewee....waangari naomba jitokeze tafadhali
Nikashangaa sana
😂😂haujui jf tuna macelebries wetu. Hata ww ni mmoja wao
Punguza makasiriko,umekula kweli usiku huu??Kamtangaze redio one kuwa unamtafuta au peleka picha ITV wamtangaze kwenye taarifa ya jion jiji letu itakusaidia kumpata
Stori yake iliyosababisha 'aikimbie' ID yake naijua lakini nimeisahau
Kinachoniacha hoi ni hii mada iko jukwaa la celebrities
Alikuwa mpambanaji mzuri sana yule dada labda atakuwa bize na kaziWapendwa
Nimetokea kushindwa kuelewa,huyu dada yuko wapi siku hizi, anatumia ID gani,naomba kujua yuko wapi anafanya mishe zipi
Mara ya mwisho kuwasiliana naye hapa JF was mwaka jana,hayuko active kabisa kama zamani, Wangari Maathai popote ulipo ur missed mama