Yupo wapi siku hizi?

Yupo wapi siku hizi?

saigon mara ya mwisho namuona ilikuwa sinza mwaka huu. mzee majogo nilisikia ana mashamba kusini ya korosho anafanya export business, sinta alikuwa kampuni ya mziki mdundo sijui sasa yuko wapi
 
Wapi Nemo?, Adili wa Chapakazi?

yule jamaa aliimba nakupenda Hip Hop nasikia kawa mwanajeshi sasa tukumbushane aliitwa nani?
 
Nlimuona insta hivi karibuni anadai katelekezwa na mtoto aliezaa na mtunis wa bongo movie, amekua na muonekano mbaya Pauline sijui ndio maisha
Anatumia jina gani insta ? Hivi si ndo alifanya chorus ya ntakufajena GK
 
yeah nami nimemkumbuka Edgar Fongo,Lady Gaga wa Tanzania wapo wapi hawa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom