Yupo wapi ROHO 7

Ndugu zangu poleni na majukumu,Poleni na Msiba wa Taifa hili.

Naomba niwapeleke kwenye burudani kidogo hasa mziki wa Hip-Hop.

Kuna jamaa aliimba nyimbo flani ambazo nikizisikiliza najisemea jamaa yupo wapi? Na vipi mziki kaacha au?

Namzungumzia Roho 7 Mnamkumbuka? Kuna hits zake mbili kwangu ni kama kifungua kinywa. Kuna ngoma inaitwa NAKUPENDA HIP HOP.

Humo Roho 7 Anaeleza jinsi anavyoipenda Hip hop anaeleza jinsi baadhi wanavyoisaliti Hip hop baada ya kutoboa kimuziki wakati Hip hop ndio iliyowatambulisha.

Roho 7 Ana flow nzuri,kali na tamu, Ngoma nyingine inaitwa WAITE POLISI, Anachana sana kuhusu pisi moja kali ambayo inakila sifa.

Tunamkumbuka au? Na kuna mtu yeyote anaefahamu ngoma zake kali nyingine? Hii ndio point katika uzi huu.
Ngoja nimfauatilie nitaleta mrejesho.
Maana mimi kizazi cha Dizasta vina
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom