Yupo wapi Prof Sospeter Mhongo (PhD)?

connections

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2013
Posts
2,775
Reaction score
3,842
Huyu mwamba alikua hanaga kifua,

1. Aliwaponda wawekezaji wazawa kuwa hawana mitaji ya kuwekeza kwenye gesi zaidi ya Biashara za juice, maandazi na sasa energy drinks.

2. Alitaka kutaja hadharan matokeo ya kidato cha 4 ya Mbunge Christopher Ole Sendeka [bila Spika MAKINDA kuingilia Leo hii yangekua mtandaoni].


Hongera Prof kwa kuwa muwazi
 
Huyo jamaa ni mtendaji mzuri sana.
Hana blaablaa.

Aliathiriea na ufisadi wa Kikwete lakuni mtu safu na makini
 
Profesa wa madini asiye na hata saiti ya kuchimba mchanga au chokaa. Na wapiga kura wake hajawapa mchongo wa madini japo anajua ramani nzima ya madini Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…