Yupo wapi Prof. Abdallah Safari?

Yupo wapi Prof. Abdallah Safari?

Siasa za kuuana za Magufuli kuna wengine waliona wamalizie uzee vizuri
 
Endelea kupuuza hivyohivyo,na mkiombwa michango na Lema mpuuze maana anawaibia na kutuma kwa familia yake huko Canada inayoishi peponi huku nyie mkoandamanishwa mabarabarani
..
JamiiForums1389173211.jpg
 
Alikuwa CUF baadae akawa CHADEMA, hajawhi kuwa na ushawishi wa kisiasa na tatizo lake alijiona anastahiki nafasi kubwa zaidi kutokana na elimu yake, Elimu sio kigezo kikuu cha uongozi kwenye siasa, kuna mambo mengi sana yanatakiwa ambayo yeye alikuwa akiyakosa. CUF alikimbia kwa kukosa Uongozi, CHADEMA alipata umakamo lakini hakuwa haukumsaidia kitu kwenye malengo yake.
 
Ni Mwanasheria Nguli saana. Mwanazuoni wa kupigiwa mfano. Mwanaharakati na mtunzi wa vitabu.

Ni Mwanasiasa mzuri na amewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).

Amepotea sana. Yuko wapi bingwa huyu?View attachment 2951156
Erythrocyte anajua sana mambo ya Komredi Makonda na anatupa updates zake mara kwa mara, lakini HAJUI CHOCHOTE cha aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa chama chake cha Chadema. Hii inasikitisha sana!
 
Back
Top Bottom