Muda sasa Prof kabuti kuonekana Public maana hata issue ya watanzania kubaguliwa China Prof hajaonekana,
Issue nyingi zinazohusu wizara ya mambo ya nje na kimataifa amekuwa kimya, upotoshaji unafanyika Kati ya WB na Magufuli lakin Prof kimya
Je Prof yupo wapi? Au kapitwa na somba somba?
Issue nyingi zinazohusu wizara ya mambo ya nje na kimataifa amekuwa kimya, upotoshaji unafanyika Kati ya WB na Magufuli lakin Prof kimya
Je Prof yupo wapi? Au kapitwa na somba somba?