Yupo wapi Jasusi Apson Mwang'onda

Uko sahihi by 100%
 
Kwa mtiririko wa uzi huu hata hicho kiwanja siyo chake, maelezo yake mengi yamejaa udanganyifu.
Muongo huyo mshkaji sijui anapata Faida gani kujikweza na fake ID

MZee Apson tulimpenda sana sisi wana Idara kwa kujichanganya na Ndugu, Majirani , jamaa na Marafiki wa watoto wake na wana idara wenzie bila kujikweza na Kuringia cheo chake tofauti na viongozi wa siku hizi unamkuta ni Naibu waziri, Mkuu wa Wilaya au Waziri mnaishi jirani mtaa mmoja Hakuna salam milele anakupita bara barani na gari full tinted Huku akikuachia vumbi bila Salaam kama vile wataendelea Kua Wanasiasa Milele wakina January ,Mwigulu future Presidents wote Ambao mpo kikaangoni kwenye Vetting ya Uraisi na wengineo wenye kujisikia ,dharau na kunata mjifunze kwa hawa wazee wakina Apson, Kikwete, kinana ,Lubuva na Mabeyo wana idara tuna wazoom kwa ukaribu sana na ndoto zenu za Uraisi

Viongozi wamuaga Mwang’onda Dar

https://habarileo.co.tz/habari/2019-10-125da1b985b20ad


 

Attachments

  • 06D791C4-5D35-4E3B-99D8-FA181AC9E415.jpeg
    114.6 KB · Views: 19
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…