Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,704
- 7,409
Mara ya mwisho alionekana kwa Mkulu akiomba ruhusa kwenda matibabu London ili kutibu meno. Mkulu alimkatalia akaagiza fedha alizokuwa anaomba kwenda nje zitumike kuagiza vifaa vya kutibu meno, viwekwe pale kambini Kijitonyama (hospitali ya kitengo) ili Mzee Kipara aende pale atibiwe. Mzee Kipara aliamua kwenda kutibiwa kwa gharama zake mwenyewe.
Aisee!Mara ya mwisho alionekana kwa Mkulu akiomba ruhusa kwenda matibabu London ili kutibu meno. Mkulu alimkatalia akaagiza fedha alizokuwa anaomba kwenda nje zitumike kuagiza vifaa vya kutibu meno, viwekwe pale kambini Kijitonyama (hospitali ya kitengo) ili Mzee Kipara aende pale atibiwe. Mzee Kipara aliamua kwenda kutibiwa kwa gharama zake mwenyewe.
mkuu weka nyama kidogo, alipewa mission ipi juu ya Lowassa?Habari wana JF.
Niende kwenye mada hapo juu.
Apson Mwang'onda ni mmoja wa DG wa TISS hapo zamani. Anakumbukwa baada ya kustaafu alikuwa team Lowassa akiwa mwanamikakati wa kumsaidia kuusaka urais kupitia CCM.
Hata hivyo wajuvi wanadai alikuwa kule kwa Lowassa kimkakati kwa ajili ya kazi maalumu ambayo aliifanikisha na kuhitimisha June 2015.
Yupo wapi mtu huyu?
Kujua mikakati yake kuelekea ushindi, mbinu atumiazo na nini amepanga kufanya akichukua dola, bila kusahau atalipiza visasi kwa nani kutokana na kupoteza uwaziri mkuu.mkuu weka nyama kidogo, alipewa mission ipi juu ya Lowassa?
Majina ya kikiristo hayo, hawana undungu.Hivi Tulia Ackson naibu spika ni mtoto wake Apson
Hata hotuba ya Lowassa kutangaza nia kuwania urais chamani, aliiandaa Apson na ilikuwa nyepesi na ya ovyo kweli usiyodhania ilipaswa kusomwa na mwanasiasa nguli aliyedhaniwa kuwa Rais baadae.mkuu weka nyama kidogo, alipewa mission ipi juu ya Lowassa?
Yani mtu kesha staafu bado tu unauliza yuko wapi? Mwache apumzike!!Habari wana JF.
Niende kwenye mada hapo juu.
Apson Mwang'onda ni mmoja wa DG wa TISS hapo zamani. Anakumbukwa baada ya kustaafu alikuwa team Lowassa akiwa mwanamikakati wa kumsaidia kuusaka urais kupitia CCM.
Hata hivyo wajuvi wanadai alikuwa kule kwa Lowassa kimkakati kwa ajili ya kazi maalumu ambayo aliifanikisha na kuhitimisha June 2015.
Yupo wapi mtu huyu?
Ujinga huu, Ackson na Apson huoni tofauti yoyote hapo?Hivi Tulia Ackson naibu spika ni mtoto wake Apson
Yupo ila kidogo kiafya hayuko sawaHabari wana JF.
Niende kwenye mada hapo juu.
Apson Mwang'onda ni mmoja wa DG wa TISS hapo zamani. Anakumbukwa baada ya kustaafu alikuwa team Lowassa akiwa mwanamikakati wa kumsaidia kuusaka urais kupitia CCM.
Hata hivyo wajuvi wanadai alikuwa kule kwa Lowassa kimkakati kwa ajili ya kazi maalumu ambayo aliifanikisha na kuhitimisha June 2015.
Yupo wapi mtu huyu?
Wee mbeyaa eti hosp ya kitengoMara ya mwisho alionekana kwa Mkulu akiomba ruhusa kwenda matibabu London ili kutibu meno. Mkulu alimkatalia akaagiza fedha alizokuwa anaomba kwenda nje zitumike kuagiza vifaa vya kutibu meno, viwekwe pale kambini Kijitonyama (hospitali ya kitengo) ili Mzee Kipara aende pale atibiwe. Mzee Kipara aliamua kwenda kutibiwa kwa gharama zake mwenyewe.