Jamani wana Jamiiforums sote tunajua kisa cha dr. Ulimboka. Kinachonishangaza mimi hapa tangu arudi nchini kutoka mbondeni kawa kimya yuko wapi huyu jamaa, au Interejensia ya bongo imemficha asisimulie mkasa
Naomba mchango wenu Jamani
Yu wapi? Na anafanya nini?.......................
Naomba mchango wenu Jamani
Yu wapi? Na anafanya nini?.......................