Yupo wapi Cyprian Musiba?

Musiba huyu hapa wakuu yupo bado akili zake ni zile zile
Sasa mzee, tangu umetungwa tumboni kwa mama yako ulikuwa unalalamika, lawana ziko kwenye vina saba vyako #mgiriki Jr VI, hujawahi acha kulalamika hata kwenye threads zako, huna threads hata moja inayoleta suluhisho ni lawana tu na maswali labda na threads za kupastiwa, sasa endelea kumuunga mkono huyo mwana mama aliyejawa na nyongo, mzandiki na chuki binafsi ili na wewe tukusajili huko BAWACHA
woe to you poor Greece, for u have fallen and u will never stand stay out my way dear buddy
 
Tiss ni wahuni wameona Hana ishu tena ndiyo maana wamempiga chini...
 
Kisa chako cha Zanzibar michenzani kinahuzunisha, kumbe wewe ndo yule kikojozi executive
SH3NZ! TAIPU amka ukafanye kazi sio kutwa kuota ndoto za kuhongwa na kuokota hela
 
Yeye ni daktari wa Maalim?
 
Kama unamuona Musiba anatoa nondo basi wewe ni wa kuhurumiwa. Musiba alitembelewa na matatizo ya upumuaji wiki iliyopita lakini Mungu hakumpenda zaidi bado tunae.
Shida ya corona inawaogopa watu wa hovyo hovyo wasio na faida duniani, inaondoka na watu wema tu.
 
Mtu mweusi Kama anufaiki aimbi kwaya.Check kina tumuongezee muda wote Hawa wamechukua mikopo mikubwa Zaid ya miaka 5 hofu yao akiingia mwingine wataishije watailipaje?
Umemuona Kessy nkamia wanaimba kwaya tena? Hawawezi sababu mshipi wa kaptula umekatika.Mtu mweusi atazami Jamii utazama tumbo.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…