Tangu alipoonekana mara ya mwisho ibadani pale kanisani Mwenge, hawajawahi kuonekana tena publicly na hata kwa waumini na watu wake wa karibu.Tetesi gani umezisikia
Na huu ndiyo ukweli mchungu. Kwa sasa amewaachia akina Mwamposa nao walambe asali ya ndugu zetu mazuzu.Ni mtu wa mwanzo kuanzisha haya mauzauza ya unabii katika kuombea watu . Alivuna za kutosha sasa analia kivulini hizo pesa za mazuzu.
KUMBE HOJA HII UNAFAHAMU ASKOFU ZACHARY KAKOBE ALIWAJIBU NINYI MAFISI !Umofia kwenu.
Wakuu, hivi yupo wapi Askofu Mkuu Zakaria Kakobe?
Hajaonekana Kanisani wala hakuna taarifa yoyote kumhusu kama yupo nje ya nchi tangu Desemba mwaka jana.
Tetesi ni nyingi sana kumhusu.
Umejibu kwa jaziba mtumishiKUMBE HOJA HII UNAFAHAMU ASKOFU ZACHARY KAKOBE ALIWAJIBU NINYI MAFISI !
Nimefatilia HOJA yako Msanii uliyoweka hapa na maoni ya wengine. Kifupi Askofu Zachary Kakobe tayari alishajibu upuuzi huu hadharini na Audio ziko kwa watu mitaani hasa washirika wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship nchi nzima siku nyingi unavyojua wewe Msanii na wenzako wenye tabia za Hayawani mwitu wabaya walioko ndani na nje ya kanisa.
Imeandikwa katika waraka kwa Tito 1:12 kwamba:-
Mtu wa kwao, nabii wao wenyewe, amesema, Wakrete ni waongo siku zote, hayawani wabaya, walafi wavivu. (One of themselves, even a prophet of their own, said, The Cretians are alway liars, evil beasts, slow bellies.)
Ndio maana huwa sipendi urafiki na watumishi. Umejibu nini hasa hapa?KUMBE HOJA HII UNAFAHAMU ASKOFU ZACHARY KAKOBE ALIWAJIBU NINYI MAFISI !
Nimefatilia HOJA yako Msanii uliyoweka hapa na maoni ya wengine. Kifupi Askofu Zachary Kakobe tayari alishajibu upuuzi huu hadharini na Audio ziko kwa watu mitaani hasa washirika wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship nchi nzima siku nyingi unavyojua wewe Msanii na wenzako wenye tabia za Hayawani mwitu wabaya walioko ndani na nje ya kanisa.
Imeandikwa katika waraka kwa Tito 1:12 kwamba:-
Mtu wa kwao, nabii wao wenyewe, amesema, Wakrete ni waongo siku zote, hayawani wabaya, walafi wavivu. (One of themselves, even a prophet of their own, said, The Cretians are alway liars, evil beasts, slow bellies.)