mkistuka mmeshakung'utwa!!!
mnataka Lowasa aseme sanaaaa mnakuta hola anadokoa speech yake kwa mstari, mpaka anafunga kampeni na hotuba inaishia hapo, mnaishia kubishana wenyewe kwa wenyewe hawezi kusema, anaweza kusema, hawezi, anaweza!!!!
Lowasa anachanja mbuga
Jana kagusa sehemu watanzania wakipenda kuisikia kitambo "Posho za wastaafu" amesema zitaboreshwa.
hapo mniambie wenyewe, vijana wako ukawa, baba zao wameahidiwa haki yao ya posho nono, akina mama kupewa kipaumbele kwenye huduma za afya kwa kuanzia na uzazi.
NANI ATABAKIA CCM
Lowasa akipita huko majimboni itakuwa ni kuwapigia kampeni wagombea wa ubunge na udiwani.
ENDELEENI KUULIZIA TIMU YA KAMPENI YA UKAWA, IKIBIDI NENDENI MPAKA TUME YA UCHAGUZI AU HATA KWA MSAJILI ILI MSHINIKIZE UKAWA WATAJE TIMU YAO YA KAMPENI.