Yupo wapi Adamu Mubago wa 5 celebity ya channel 5?

Sijui yupo wapi anaitwa jenia chilima
euoxUdCb.jpeg


Je yule dada wa 5 Grooves aliye act na tid kwenye siamini yupo wapi?
 
Duh ....kumbe watoto wa Mchwampaka tupo wengi

Na Tokyo yule aliyekuwa anavaa sutuali za tokyo muda wote anatembea na fimbo.mchww r.i.p . Huyo mubago alikua anapenda sana mademu muda wote anashinda jangwani..matokeo yake ya f4 hayakushangaza wengi
 
nyie mtakuwa mmesoma miaka ya 1998. mdudu alikuwa classmate class P. askofu yupo kibamba. mmenikumbusha mbali sana duh

Class P Na shafi dauda? Na yule maneno mengi maulidi?? Ngoja ninyamaze hizi id zinaficha mengi.mdudu kuna kipindi alikuwa kama mzungu wa unga hapa mjini..
 
Class P Na shafi dauda? Na yule maneno mengi maulidi?? Ngoja ninyamaze hizi id zinaficha mengi.mdudu kuna kipindi alikuwa kama mzungu wa unga hapa mjini..

yah that class na form one tulichukua kombe kwenye mpira. duh its almost twenty years now
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom