kulikuwa na handsome mwingine kipindi one to one sijui Jina
nani Abba? Nasikia alifanyiwa kitu mbaya
Je yule dada wa 5 Grooves aliye act na tid kwenye siamini yupo wapi?
Duh ....kumbe watoto wa Mchwampaka tupo wengi
nani Abba? Nasikia alifanyiwa kitu mbaya
hahahahhaa..umeona ..Mchwampaka..Yengela..a.k.a Tokyo..salum salum...Mkongo.(walimu)
mdudu..aliko...askofu..( mandundu hayo)
nyie mtakuwa mmesoma miaka ya 1998. mdudu alikuwa classmate class P. askofu yupo kibamba. mmenikumbusha mbali sana duh
Class P Na shafi dauda? Na yule maneno mengi maulidi?? Ngoja ninyamaze hizi id zinaficha mengi.mdudu kuna kipindi alikuwa kama mzungu wa unga hapa mjini..
Babkubwa ndio kilikuwa cha Adam Mubago
Adam the kaka,kachakaza sana Vibint vya Jangwani na Zanaki alipokuwa O-level.
Class P Na shafi dauda? Na yule maneno mengi maulidi?? Ngoja ninyamaze hizi id zinaficha mengi.mdudu kuna kipindi alikuwa kama mzungu wa unga hapa mjini..
yah that class na form one tulichukua kombe kwenye mpira. duh its almost twenty years now