mkweli wa mambo
JF-Expert Member
- Oct 28, 2013
- 329
- 178
Kweli hapa duniani kuna maajabu sana wadau
Hivi kweli inawezekana kabisa mtu akawa anapenda kusikia zile sauti za watu wakiwa wanafanya mapenzi?
Yaani jamaa yeye ndio starehe yake, akisikia sauti za mwanamke anapelekewa moto eti yeye ndo anaenjoy kweli??
Tena anasema kabisa zile kelele zinamfanya afike mshindo kabisa bila hata kufanya mapenzi, kweliiii???
Anaendelea kusema huwa ana tabia ya kwenda lodge analipia chumba kabisa kisha anasubiria watu wengine waingie chumba cha jirani ili aanze kuwasilikiza wakiwa wanafanya mapenzi.....Duuuuh!!!!
Hii kitu jamani imekaaje? Binafsi zile sauti nikizisikia uwa zinaniharibu kisaikilijia ,so uwa navaaga earphones au naondoka kabisa eneo ilo
Kumbe kuna wengine ndo wanazipenda na ndo starehe zao? hii imekaaje wakuu.....
Dunia ina maajabu sana aiseeee
Hivi kweli inawezekana kabisa mtu akawa anapenda kusikia zile sauti za watu wakiwa wanafanya mapenzi?
Yaani jamaa yeye ndio starehe yake, akisikia sauti za mwanamke anapelekewa moto eti yeye ndo anaenjoy kweli??
Tena anasema kabisa zile kelele zinamfanya afike mshindo kabisa bila hata kufanya mapenzi, kweliiii???
Anaendelea kusema huwa ana tabia ya kwenda lodge analipia chumba kabisa kisha anasubiria watu wengine waingie chumba cha jirani ili aanze kuwasilikiza wakiwa wanafanya mapenzi.....Duuuuh!!!!
Hii kitu jamani imekaaje? Binafsi zile sauti nikizisikia uwa zinaniharibu kisaikilijia ,so uwa navaaga earphones au naondoka kabisa eneo ilo
Kumbe kuna wengine ndo wanazipenda na ndo starehe zao? hii imekaaje wakuu.....
Dunia ina maajabu sana aiseeee