Yupi utakaye muanza kumpa pesa hapa?

Yupi utakaye muanza kumpa pesa hapa?

njembaa mbunifu,
Usije shangaa ukaenda posta ukakauta staili hivi omba-omba wa Kibongo nao wakaikopi na kuipesti,
 
Binadamu je?

TUKUTUKU huko kwa wenzetu usikute huyu jamaa anapewa sigara kuvuta ama msokoto wa bagi ila hao wanyama wakapewa shelter na vyakula. Kwa huku Bongo hao wanyama watakamatwa na kuchunwa na wajanja ili usiku wakauzwe mishikaki na huyo jamaa akapigwa au kutemewa mate huku akitupiwa maneno ya kejeli na watu kwani hawatamuamini kuwa ni omba omba.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom