Yupi anajua kuuchuna?

Yupi anajua kuuchuna?

Nyetk

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2012
Posts
1,648
Reaction score
1,701
[h=5][/h][h=5] WADAU KATI YA HAWA YUPI ANAJUA KUUCHUNA?
Juha, Zoba na Zuzu walikuwa wakibishana nani anaweza kuuchuna kuliko mwenzake, ilikuwa hivi;
JUHA: Nilimpigia simu mke wangu akasema halooo! Mie nikauchuna sikuongea mpaka fedha yote ikaisha.
ZOBA: Niligonga mlango, Mke wangu akafungua hakuniambia karibu, sikuingia nikasimama mlangoni mpaka kesho yake, nikageuza zangu kurudi kazini.
ZUZU: Tangu nimuoe Mke wangu hajawahi kuniita mpenzi, nimegoma kulala nae huu ni mwaka wa sita, na mke wangu ana watoto wawili. Lakini mpaka leo sijamuuliza watoto wote ni wa nani? Nimeuchuna tu. Je, kati ya wote nani anajua kuuchuna?

[/h]
 
Huyo Zuzu incase nakutana nae, namfumua bomba (risasi 20) za kichwa!
 
Duh! Kama mtu anayeitwa zuzu ndiyo tafsiri yake hiyo hapo juu, ukiitwa zuzu pigana hadi ufe! Hahahahaa!
 
Sioni anayestahili kuishi kati ya hao. Mi naona wote ni wa kupiga risasi tu!
Eti eeh!
Basi walau hao wengine wana nafuu, unaweza ukawapiga pipe za makalioni may b wanaweza baki na vilema vya maisha!
Bt Zuzu ameniharibia siku! Nimeshindwa kupeleka pwani ndizimshale zangu ujue!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom