Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,046
- 69,509
hizi kiki balaaa
hapana mkuuKwanini anaitwa wa bandia? Yule muigizaji wa Uingereza anayefanana naye ndiye halisi?
Simu ilikata chaji, nimesha edittuaminije kama hajafa...chanzo cha habari ni kipi?
HakufaAmefufuka jioni hii. Anajiandaa kupaa kurudi kwa baba yake.
OKAYSimu ilikata chaji, nimesha edit
Sawana wewe huna tofauti na waliosema kuwa kafa,
ni yest mwana wa maria, umerizika?Una uhakika gani kwamba huyo ni yesu feki?
We unamfahamu yesu og. Basi wewe uliishi zamani.Huyo mzungu wala hafanini hata chembe na Yesu labda kama anafanana na muigizaji wa filamu ya Yesu.
Tatizo huwa hamsomi thread kurupu kichwa cha Habari na kwenda kukoment.Huyo jamaa ni muigizaji Kama Decon aliyeigiza filamu ya maisha ya bwana Yesu lakini huku Africa kwenye kifaduro cha akili ndo tunamuita Yesu,huko Marekani anakoishi ni Kama Gambo zigamba.Kwa ufupi hakuna ushaidi wa Sura ya Yesu na hamna haijuae.Kipindi cha maisha ya bwana Yesu kristo kulikuwa hakuna teknolojia ya mapicha.Una uhakika gani kwamba huyo ni yesu feki?
Ndio atapaa na ndege kurudi kwao,safari hii kisasa zaidiKishafufuka,tunasubiri apae sasa.