Yule Yesu feki hajafa anadunda tu na kula bata.

Yule Yesu feki hajafa anadunda tu na kula bata.

Pasaka
Rip.jpg
 
sidhani kama kuna MTU anayeijua sura ya yesu mwenyewe.
Ukiacha wale wa zamani walie muona na kuwa nae.
 
Huo ni upuuzi na ndio maana tuliambiwa tunaangamia kwa kukosa maarifa.
Kwanza kwa nini aitwe yesu?je ni kwa sababu anafanana na Brian aliyeigiza picha ya yesu? Je yule Brian ndio yesu?
Kwa kusema huyu ni yesu fake means kuna original.
Je Yesu org.ni yupi?
Unapozungumzia kitu fake ina maana kina ufanano wa kiasi kikubwa sana na kitu org. Je ni vigezo gani vimetumika kumfananisha huyu bwana na Yesu org?.
NOTE:Mathew 25:13
 
Huo ni upuuzi na ndio maana tuliambiwa tunaangamia kwa kukosa maarifa.
Kwanza kwa nini aitwe yesu?je ni kwa sababu anafanana na Brian aliyeigiza picha ya yesu? Je yule Brian ndio yesu?
Kwa kusema huyu ni yesu fake means kuna original.
Je Yesu org.ni yupi?
Unapozungumzia kitu fake ina maana kina ufanano wa kiasi kikubwa sana na kitu org. Je ni vigezo gani vimetumika kumfananisha huyu bwana na Yesu org?.
NOTE:Mathew 25:13
Haya Haya BA's dada casc tumekuelewa.
Ukapate breakfast sasa
 
Tatizo huwa hamsomi thread kurupu kichwa cha Habari na kwenda kukoment.Huyo jamaa ni muigizaji Kama Decon aliyeigiza filamu ya maisha ya bwana Yesu lakini huku Africa kwenye kifaduro cha akili ndo tunamuita Yesu,huko Marekani anakoishi ni Kama Gambo zigamba.Kwa ufupi hakuna ushaidi wa Sura ya Yesu na hamna haijuae.Kipindi cha maisha ya bwana Yesu kristo kulikuwa hakuna teknolojia ya mapicha.
bora umenisaidia kumjibu huyu jamaa, mambo ya dini ukiyachanganya na mihemko unapotoka kabisa
 
Kwa mwendo huu hata og akija atakataliwa tu...maana wasomi tumekua weng na wazee wa logic
 
Back
Top Bottom