Yule msemaji wa Hamas Abu Ubaida IDF wamepita naye

Yule msemaji wa Hamas Abu Ubaida IDF wamepita naye

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
6,929
Reaction score
6,030
Tathmini za Israel zinaonyesha kuwa Abu Ubaida ameangamizwa bila huruma yoyote

Afisa mmoja mkuu wa Israeli alisema: "Ikiwa angekuwa huko, hakuna uwezekano wa kunusurika jaribio hili la mauaji."

Taarifa za awali kuhusu mahali alipo zilipokelewa jana usiku, na saa 5:30 jioni hii fursa ilifunguliwa.

Israel inasisitiza: Kama mateka wangekuwepo katika eneo hilo, shambulio hilo lisingetekelezwa.
Taarifa ya pamoja ya Msemaji wa IDF na Shin Bet (ISA):

Muda mfupi uliopita, IDF na Shin Bet, wakiongozwa na Kamandi ya Kusini na kuongozwa na Ujasusi wa Kijeshi, walimpiga mfanyikazi mkuu wa Hamas katika eneo la Mji wa Gaza kaskazini mwa Ukanda wa Gaza kwa kutumia ndege ya IAF.

Kabla ya shambulio hilo hatua za kina zilichukuliwa ili kupunguza hatari ya vifo vya raia, ikiwa ni pamoja na matumizi ya risasi zenye usahihi, uchunguzi wa angani na taarifa za ziada za kijasusi.

Mashirika ya kigaidi katika Ukanda wa Gaza yanakiuka kimfumo sheria za kimataifa, yakinyonya kikatili taasisi za kiraia na wakazi wa eneo hilo kama ngao za binadamu kwa shughuli zao za kigaidi.

Kuuwawa kwa msemaji Mkuu wa Hamas, inaonyesha ushindi mkubwa - maana Abu Obaida ni miongoni mwa viongozi wa Hamas wakuu kuuwawa huko Gaza tangu kuanza kwa vita Oct 07,2023.


IMG_4038.jpeg





 
Unatamani Sana iwe hivyo we mkaanga Sumu myahudi wa mchongo. Abuu is your nightmare keep dreaming hii nadhani ni mara ya kumi unaleta hizi taarifa Zako kuhusu Abuu, nyinyi lengo lenu ni kuua watu wasio na hatia mimedhulumu bure maisha ya raia 7 kisingizio Kuna Abu ubeida.

He is a living ghost, Mujahideen wanasoma Surat Yasin na wanakombora linaitwa Yasin 105. Tafuta habari za hio Sura Kwenye medani za kivita uatpata majibu no wonder Ton laki moja za mabomu mlizolipua Gaza 80% you killed civilians and not Hamas ask yourself why?
 
Unatamani Sana iwe hivyo we mkaanga Sumu myahudi wa mchongo. Abuu is your nightmare keep dreaming hii nadhani ni mara ya kumi unaleta hizi taarifa Zako kuhusu Abuu, nyinyi lengo lenu ni kuua watu wasio na hatia mimedhulumu bure maisha ya raia 7 kisingizio Kuna Abu ubeida.

He is a living ghost, Mujahideen wanasoma Surat Yasin na wanakombora linaitwa Yasin 105. Tafuta habari za hio Sura Kwenye medani za kivita uatpata majibu no wonder Ton laki moja za mabomu mlizolipua Gaza 80% you killed civilians and not Hamas ask yourself why?
Kosa kubwa la Abu Obaida ni pale jana alipotangaza kuwa atawachinja mateka wa Israel huku akirecord kwenye kamera hilo ni kosa la kimkakati!!!!

Acha afe tu maana mtu mwenyewe mikono yake imejaa damu za watu wengi wasio na hatia!!
 
1000063924.jpg

Siku huyu jamaa wa Houthi akidedi pamoja na huyo Abuu ndio ntajua IDF ni kiboko wa yote.
 
Kosa kubwa la Abu Obaida ni pale jana alipotangaza kuwa atawachinja mateka wa Israel huku akirecord kwenye kamera hilo ni kosa la kimkakati!!!!

Acha afe tu maana mtu mwenyewe mikono yake imejaa damu za watu wengi wasio na hatia!!
Hakuna kosa lolote kufanya na Wala hamjamuua
 
Wewe uko una bwabwaja humu wenzako Tel Aviv baada la balaa la Jana usiku hawana hamu wanamuandama trump amalize vita wanaona kabisa Netanyau anawaangamiza vijana wao wadogo bila huruma
********************
🇮🇱❌🇵🇸🇵🇸 Protests in Tel-Aviv, settlers are calling on Trump to pressure Netanyahu to accept a deal that secures the release of the "israeli" prisoners in Gaza.

@Palestine_Updates
 

Attachments

  • IMG_20250830_194149_036.jpg
    IMG_20250830_194149_036.jpg
    94.3 KB · Views: 17
Hakuna kosa lolote kufanya na Wala hamjamuua
Yale Yale niliyowaambia kuhusu magaidi wa Houth mkabisha leo hii wao wenyewe wamewataja mawaziri zaidi ya 10 wameangamizwa sasa ni zamu ya huyu Gaidi matnia bias tu wenyewe!!
 
Tayari wamepita na balaza kama lote la mawaziri huko yemen naye atafata tu
Ni sawa na vita ya Hezbollah uende ukaue uongozi wa nchi ya Lebanon hicho si ni kichaa? Yaani uachwe wahouth ukaue watu wanaowatumikia wananchi useme umeweza vita, mmarekani sio mjinga kuondoka red sea. Wala msaudia sio mjinga kusalimu amri baada ya miaka 8 I know who Yemenis are.
 
Wewe uko una bwabwaja humu wenzako Tel Aviv baada la balaa la Jana usiku hawana hamu wanamuandama trump amalize vita wanaona kabisa Netanyau anawaangamiza vijana wao wadogo bila huruma
********************
🇮🇱❌🇵🇸🇵🇸 Protests in Tel-Aviv, settlers are calling on Trump to pressure Netanyahu to accept a deal that secures the release of the "israeli" prisoners in Gaza.

@Palestine_Updates
Msimamo wa Israel upo wazi mateka wote waachiwe kwa pamoja na hamas waondoke hapo Gaza.
Sasa hamas wanataka kuwaachia mateka kwa mafungu wanajua wakiwaachia mateka wote gaza itabaki safi hawatakuwa na kinga kuburgain .mkwamo wa cease fire deal upo hapo
 
Yale Yale niliyowaambia kuhusu magaidi wa Houth mkabisha leo hii wao wenyewe wamewataja mawaziri zaidi ya 10 wameangamizwa sasa ni zamu ya huyu Gaidi matnia bias tu wenyewe!!
Hakuna Kiongozi Hata mmoja wa Al Houth mliyemuua mmeua mawaziri wa Yemeni. Ambao hili suala haiwahusu na hawana uwezo wa kuwazuia Al Houth kufanya kazi Yao.
 
Ni sawa na vita ya Hezbollah uende ukaue uongozi wa nchi ya Lebanon hicho si ni kichaa? Yaani uachwe wahouth ukaue watu wanaowatumikia wananchi useme umeweza vita, mmarekani sio mjinga kuondoka red sea. Wala msaudia sio mjinga kusalimu amri baada ya miaka 8 I know who Yemenis are.
Kumbe wewe ni mjinga kiasi hicho? Hata hujui vita inaendeshwa na wanasiasa hao ndiyo wanasema rusheni makombala Tel Aviv na hao ndiyo wanatakiwa wafe!!!

Mfano Hezbollah baada ya kufa Hassan Nasrallah mambo ya kwenda sawa wakasalimu Amri wakaweka mkataba wa Amani na sasa wako kimya wanasubiri tu kupokonywa silaha!!
 
🇵🇸⚡️🇮🇱 The Palestinian Resistance Security Forces have officially denied rumors spread by the Zionist regime regarding the assassination of Abu Obeida, the spokesperson for the Al-Qassam Brigades. In a statement released on Saturday, the resistance emphasized that these claims are entirely baseless and part of an Israeli-led disinformation campaign. They issued a stern warning to those circulating such rumors, clarifying that the source is explicitly Israeli and that the spread of such falsehoods serves specific intelligence objectives aimed at undermining morale and manipulating public perception. The resistance reaffirmed that Abu Obeida remains alive and active, urging the public to rely solely on official channels for accurate information and to reject Zionist psychological warfare tactics.
 
Back
Top Bottom