BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,315
Mwenyewe najiskia aibu hapa nilipoDu Tanzania wanaume wanapungua sana kama mleta mada ni wa kiume.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenyewe najiskia aibu hapa nilipoDu Tanzania wanaume wanapungua sana kama mleta mada ni wa kiume.
Anatushushia heshima zetu mwehu sana huyu, kama namuona anavyonyanyua kidole juuDu Tanzania wanaume wanapungua sana kama mleta mada ni wa kiume.
Wacha weesasa sasa ni wakati wa kwenda nyumbani,kwaheri hance kwaheri tutaonana keshoooo
Ndio Shida za kushinda saluni za kina dada wakifanya pedicure na manicure,wakitoka hapo wanaenda gym kutafuta six parks ili wavutie Majimama,jioni hao wanaenda kula Pweza na alkasusu,siku imeisha hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona yeye na mashabiki zake wala HAIMSHTUIII,
#Inaumaaa eeh ila itabidi mzoeee#
Lol.
Tutolee hapa huo upuuzi CHIBU BABA YAKO
Ulitarajia kuziona wapi wakiendesha?! Au ulitarajia na wenyewe wajipige picha wakati wakiendesha kisha wa-post Instagram?Halafu kwanza zile gari alizojifanya amewanunulia wazazi mbona hatujawahi kuziona zikiendeshwa na wazazi wake...
Sema wanaume wa Kinondoni tafadhali; tusivunjiane heshima aisee!Hawa ndo Wanaume wa Dar Wakiwa Wanaongea Wanajichekesha chesha na Vijambo Vinapita
Mkuu, tunaomba uwe unareport kwa kubonyeza kitufe cha kureport kitu ambacho hakikufurahishi Majukwaani sio unamtag au unammention Moderator kwani anaweza kuchelewa kuona. Natumaini umenielewa. Hii inasiadia kuondoa kwa haraka post isiyotakiwa.Ndio mimi ni mwanamama mniache na wamama wenzangu.
DIAMOND BABA YAKO
Hakika.Huyu mleta mada ni aina ya viazi hivi!Du Tanzania wanaume wanapungua sana kama mleta mada ni wa kiume.
Tena ni viazi vitamuHakika.Huyu mleta mada ni aina ya viazi hivi!
Sent from my TA-1024 using Tapatalk
tena vya Pemba au Tanga.Tena ni viazi vitamu
Ahahahah!!Du Tanzania wanaume wanapungua sana kama mleta mada ni wa kiume.
Du Tanzania wanaume wanapungua sana kama mleta mada ni wa kiume.
kama ww ni jinsia ya kiume basi jisemee kimoyomoyo ''NATETEMA''Kwanza kabla hata sijasahau, hivi huyu msanii wa insta ameshamaliza kukarabati choo huko kijijini kwao? Maana kanavyojifanya kujitunisha hapa mjini wakati kujenga tu choo cha kisasa ameshindwa.
Halafu na yule baba yake shehe mzima wa madrasa lakini alikuwa anamuunga mkono ushirikina alikuwa anaufanya mwanae mchana kweupe bila aibu nyie umaskini huu unapelekesha watu.
Halafu kwanza zile gari alizojifanya amewanunulia wazazi mbona hatujawahi kuziona zikiendeshwa na wazazi wake au zilikuwa kiki tu kama sio kiki basi walishindwa kuzimudu wakaona waziuze ili mradi pesa itimie walipe gharama ya kuvunja mkataba.
Halafu sijui kwa nini huyu msanii wa insta kila jambo analolifanya lazima lifeli tu mwisho wa siku anaambulia aibu
Miongoni mwa vitu alivyofeli mpaka sasa ni hivi.
1) Mgahawa ameshindwa kutimiza ahadi
2) Aliahidi kugawa nguo ,ameshindwa kutimiza ahadi.
3) Aliahidi kutatua tatizo la dawa huko kijijini kwao ameshindwa kutimiza ahadi.
4) Amejikomba kwa Magufuli. Magufuli kampima mwisho wa siku akamtosa ndio maana Magufuli akapiga simu ya pongezi kwa Platnumz badala ya kupigiwa yeye mzee wa kujikomba.
5) Amefosi bifu mserereko WCB, WCB wamemkwepa mwisho wa siku ameishia kurusha vijembe tu kila kukicha.
6) Ameahidi kufungua radio station yake mwezi March hii ni ndoto ya Alinacha, mtu gharama ya kukarabati choo tu imempelekesha ndo ataweza kufungua radio stations dogo atazidi kupotea kila kukicha.