Tuwasubiri Ridhiwani Kikwete na Kinjeketile Mwiru sasa, waanze kuhubiri muda si mrefu toka sasa.Matapeli huishia kuwa wachungaji
Ameokoka jamaa yupo town hapa, ila mambo yake sio mazuri nowdays
Ndivyo inavyotakiwa...hapo utakuwa na uhakika na usalama wako na kuendelea kula sadaka na kondoo kiulainiKwa hiyo wakisha piha hela kwa watu nsiyo wanapata upako. Si ajabu na akina Papa Msofe watakujafungua malanisa yao
Silent inn ya miaka hiyo,ni ukumbi(sehemu ya uwazi)inakodishwa kwa ajili ya makanisa,yupo,anatengeneza na muumba wake!!Silent in sa hiv ni dance club moja matata sana mpakani