Yuko wapi yule Traffic mwenye mbwembwe jijini Dar?

Yuko wapi yule Traffic mwenye mbwembwe jijini Dar?

MANUU MANGI

Member
Joined
Apr 4, 2017
Posts
36
Reaction score
68
Kuna Trafic mmoja alikamata sana jiji la Dar hasa kwenye makutano ya barabara za Mwenge,Bamaga na Sayansi kwa staili yake ya kuongoza magari hasa nyakati za asubuhi na jioni.

Wengi walifurahia namna alivokuwa anaonyesha namna gani anapenda kazi yake kwa jinsi alivokuwa anayaita magari kwa mbwembwe nyingi sana kipindi cha mwanzoni mwa mwaka jana mpaka mwanzoni mwa mwaka huu.

Mimi ni mtumiaji wa barabara hizo lakini kwa kipindi kirefu sijamuona traffic huyu. Je, yuko wapi?

Binafsi nmemiss kuona mbwembwe zake akiongoza magari.

FB_IMG_1500058893474.jpg


Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
 
Haha amefanya madereva wa njia hiyo awafurahi tena

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
 
Namwona Mikocheni mara nyingi.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Daa yule traffic wamemficha uko njia ya mikocheni to kawe

Sent from my Redmi 3S using JamiiForums mobile app
 
Yupo njia ya Kawe ukifika pale Round about utamkuta asubuhi. Bado anafanya kazi yake kwa tabasamu na furaha kama vile maisha hayana mabonde na milima. Ni baadhi ya watumishi wachache ambao wanaipenda kazi yao hata kama ni ngumu ya kukaa juani. Hongereni askari wetu wote mlioko sehemu mbalimbali mkilinda mipaka ya nchi na sehemu nyingine lukuki.

Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
 
Katumbuliwa

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
 
ATAKUWA KAHAMISHIWA KIBITI YULE

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Kawe round about

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Alikoswa koswa risasi pale Sayansi mwenzake akauawa jamaa akakimbia milele

Siku hizi unamkuta darajani JKT Kawe Round About na Kawe NHC
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom