Noti mpya tz
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 974
- 244
Huyu jamaa alipewa kazi ya ktk chama cha Magamba akaja na mkakati uliomweka yeye madarakni kama katibu mkuu ya chama na baada ya kupata nafasi hiyo akishirikiana na Nape nauya walisimamia kuhakikisha kuwa mapacha watatu wanaondolewa ktk chama, kwa sasa simsikii tena huyu mtu, Yuko wapi???