The Professor
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 2,223
- 4,586
Habari za majukumu wakuu, natumaini wote mu wazima wa afya na mambo yanaendelea kusonga kwa neema za Mwenyezi Mungu.
Bila kupoteza muda naomba kuuliza ni wapi alipo huyu mrembo Warda Walid, ni msanii wa bongo movie, kawahi kucheza movie moja na Jb, Dr Cheni (jina limenitoka).
Ni muda sana hasikiki wala haonekani kwenye tasnia hii ya bongo movie, naombeni kujuzwa wapi alipo mrembo huyu aliyeumbwa akaumbika.
*Asanteni sana.
Bila kupoteza muda naomba kuuliza ni wapi alipo huyu mrembo Warda Walid, ni msanii wa bongo movie, kawahi kucheza movie moja na Jb, Dr Cheni (jina limenitoka).
Ni muda sana hasikiki wala haonekani kwenye tasnia hii ya bongo movie, naombeni kujuzwa wapi alipo mrembo huyu aliyeumbwa akaumbika.
*Asanteni sana.