Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,273
- 11,773
TrueAkili na maono ya mtu huwa hayarithiwi mkuu ila huwa tunarithi mali na Assets nyinginezo
Kila mtu ana nafasi yake na mchango wake wa kipekee ktk kufanikisha mafanikio ya watu na dunia yake
Duh...tuko dunia ya mapambano.. The end justifies the means..!Ruge alikuwa ni muhuni tu akijificha nyuma ya kivuli cha connections zake serilalini, elimu yake, uzoefu wake, n.k
Ruge alikuwa hataki ushindani, alikuwa anataka awepo peke yake ili anyenyekewe.
Ukikosana na ruge alikuwa anafanya hilo bifu atalihusisha mpaka kwenye kukuua kimuziki.
Nandy alikuwa na kipaji kama wasanii wengi tu lakini kwakuwa alikuwa anampa ruge penzi, Ruge alimfanya awe star.
Tigo wanatoa hata milioni 150 kudhamini fiesta, wasanii wanapewa eld 40!!
Ruge alikuwa mbwa mwitu ambae alivaa kinyago cha kondoo.
Uandishi ni sanaa inategemea unaitumia vipi... Ruge ni indicator, Mond ni headlight..Harmo ni dim.. Je umepata picha?Umezunguka zunguka kujifanya unamsifia Ruge lakini nia yako ulitaka kuzungumzia Harmonize na Diamond ungeenda tu direct. Mbona Diamond alishalalamika sana kuhusu Ruge na watu wakamshambulia Ruge, leo akisema Harmonize mnaleta mabandiko yenu...
Kitu kingine Harmonize hajakataa kusaidiwa anacholalamika yeye ni kuendelea kuandamwa wakati alifanya kila kitu kulingana na matakwa ya mwajiri na mikataba ilivyotaka
Ruge alihusikaje kwenye maigizo?Ruge alikuwa Mbunifu Sana alijua kucheza na nyakati
Ile THT aliyoianzisha pamekuwa mahala paupigaji Kila anayeenda kujifunza wanataka Atoe hela wakati kipindi yupo hai mwenye THT yake hakua na tamaa za kijinga
Ruge alipenda kuwakutanisha wasanii sehemu moja na wakafanya kile ambacho alikiamini na ndiyo maana Mondi anajitahidi Sana kukopi baadhi ya vitu kutoka kwa Ruge kuanzia kwenye Radio Hadi kwenye Tv
Kwakifupi Ruge aliichangamsha Sanaa kuanzia kwenye maigizo mpaka kwenye muziki pengo lake nikama the greaty kanumba halitakaa lizibike ingawa Kuna watu wanajitahidi kuvaa viatu Vyake
Mbona hata Le mutuz kasoma Marekani tena digrii saba, lakini ndo hivyo tenaRuge alisoma USA hivyo brain yake iliandaliwa kutumika dunia ya kwanza.
Kwetu huku bado saana kutengeneza mtu Kama huyo
Series kama 69 record aliandika yeye ambayo ilikuwa inaruka clouds tvRuge alihusikaje kwenye maigizo?
Perfect! Very well said..!!!Moja ya Mawazo yakeView attachment 2026299
Maisha ni mapambamo.. Its survival of the fittest..dunia haina huruma japo ulimwengu ni shujaa kwakuwa hatimaye ukitoboa utasifiwa ..ukisubiri huruma utachekwani kweli haya mambo ya kibinadamu yanatisha sana lazima tujiulize maswali haya
je tuache kusaidia wenzetu kwa kuhofia kuwa watakuwa silaha kubwa kwetu
au tuendelee kutumia msemo wa tenda wema nenda zako..............
anyway BROO MSHANA ....unajua kuleta maada fikirishi
Kwa hio huko kurudisha mazao ndio kumlipa rubby elf 80 kwenye fiesta azunguke tz nzima, huu ni upuuzi. kuna muda ndio tunahitaji kurudisha fadhila kwa waliotusaidia lakini kuna wakati unaona kabisa unadharauliwa kama nguruwe.
Nampa big up sana rubby kwa kukataa huu ujinga.
Ni kama kumchukua chokoraa huko mtaani umlishe chakula alafu umwambie akulimie shamba heka nzima umpe buku
alisoma marekani uzeeni ikapelekea kutojali afya ingekua aliaaza toka utotoni angekua mzima...mungu amrehemRuge alisoma USA hivyo brain yake iliandaliwa kutumika dunia ya kwanza.
Kwetu huku bado saana kutengeneza mtu Kama huyo
Comment yako imeongea mengi kwa mistari michache.Ni kweli Mkuu ndiyo maana tunaona toka Rubby alipojitoa kwa Ruge amezidi kung’aa, na hivi Ruge kafariki so hawezi kubaniwa popote basi kazidi kufanikiwa sana sana sio Ruby yule...si ndiyo ehee.
Na yule Nandy aliekuwa anabebwa ndiyo kaporomoka hata hasikiki
Uwa ni maneno ya watu tu ndugu. Kuna siku nilimsikia chidbenz tena mwaka jana akihojiwa kipindi kile wakati anadai efm walitaka aperform kwa 50000. Katika hiyo interview alisema kati ya makampuni yanayolipa vizuri ni clouds. Alisema ilikuwa inatokea malipo yanachelewa baada ya fiesta ila walikuwa wanalipa vizuri.Ni msanii gani fiesta alikuwa analipwa elfu 40 au 80 ndugu huyo Ruby hela aliyokuwa anapaita alikuwa anahonga wanaume tu na kulewa tunamtuhumu mtu KWA vitu ambavyo hakuvifanya kisa hawezi kujitetea nani asiyojua wasanii wa bongo maisha yao hivi unafahmu hao hao unaowatetea ndio wanamkumbukka Ruge kipindi hiki Cha likizo ambacho ndio yalikuwa mavuno yao
Bro na ww ni chawa wa MondHuwezi kuona thamani ya kitu mpaka siku ukikose!
Wako wapi wasanii wale waliopiga kelele kuwa wanashindwa kung'ara kwakuwa marehemu Ruge alikuwa anawanyonya? Wengi nawaona wakiwa na hali mbaya kuliko hata kipindi cha kunyonywa na marehemu.