Wasiojulikana walishafanya yao!
Na kama sikosei hiyo page iliacha kupost around time Ben alipotoweka si ndio?
Alaah kumbe! Shukrani kwa clarification mkuuSio kweli mkuu, Ben kapotea mwaka jana na Tanzagiza post yake ya mwisho ni ya msiba wa wale watoto.
Mmiliki wake alikuwa mwanachadema anayeishi London.
mkiona page inatupa mawe mnaifuatilia kwa wingi.ikipotea hamuachi kuuliza imepotelea wapi? Mbona kuna memba kibao humu ni maarufu lakini siku hizi hawaonekani.Salute.
Kuna Mtanzania alikuwa anatumia account ya Tanzagiza (Fb) ni kipindi sasa hajawahi kutupia kitu chochote zaidi ile account vijana wa chama Fulani wanaitumia sana kupost vitu vyao.
Hofu yangu ni kuwa kwa sababu mwenye account ile alikuwa hajulikani kwa majina harisi anaweza kuwa alishadukuliwa na wasiojulikana na kisha kufanyiwa yasiyojulikana.
wakati ben alikua keshapotea kitambo?wenyewe walikua wanacomplain ben alivyopoteaTetesi zinasema ile page ilikua chini ya Ben Sa8! hayo mengine mtajiongeza!
sio kweli hii page kipind ben anapotea ilikua inapiga kazi kama kawa wakidai wanamtaka ben akiwa hai leo unadanganya umma kuwa ilikua ya benhii page nadhan ilikuwa inamilikiwa na ben saa nane,,, baada ya kupotea yy na page ikawa kimy
Wakati Ben ashapotea bado ilikuwa ina-existTetesi zinasema ile page ilikua chini ya Ben Sa8! hayo mengine mtajiongeza!
hii page nadhan ilikuwa inamilikiwa na ben saa nane,,, baada ya kupotea yy na page ikawa kimy
Sio kweli mkuu, Ben kapotea mwaka jana na Tanzagiza post yake ya mwisho ni ya msiba wa wale watoto.
Mmiliki wake alikuwa mwanachadema anayeishi London
Atakua kaenda Zimbabwe na mkatolikiSalute.
Kuna Mtanzania alikuwa anatumia account ya Tanzagiza (Fb) ni kipindi sasa hajawahi kutupia kitu chochote zaidi ile account vijana wa chama Fulani wanaitumia sana kupost vitu vyao.
Hofu yangu ni kuwa kwa sababu mwenye account ile alikuwa hajulikani kwa majina harisi anaweza kuwa alishadukuliwa na wasiojulikana na kisha kufanyiwa yasiyojulikana.
TanzamwangaTanzagiza !!!