Mwene chungu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 915
- 754
Salute.
Kuna Mtanzania alikuwa anatumia account ya Tanzagiza (Fb) ni kipindi sasa hajawahi kutupia kitu chochote zaidi ile account vijana wa chama Fulani wanaitumia sana kupost vitu vyao.
Hofu yangu ni kuwa kwa sababu mwenye account ile alikuwa hajulikani kwa majina harisi anaweza kuwa alishadukuliwa na wasiojulikana na kisha kufanyiwa yasiyojulikana.
Kuna Mtanzania alikuwa anatumia account ya Tanzagiza (Fb) ni kipindi sasa hajawahi kutupia kitu chochote zaidi ile account vijana wa chama Fulani wanaitumia sana kupost vitu vyao.
Hofu yangu ni kuwa kwa sababu mwenye account ile alikuwa hajulikani kwa majina harisi anaweza kuwa alishadukuliwa na wasiojulikana na kisha kufanyiwa yasiyojulikana.
