Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,103
- 37,628
Hata Mimi najua hivyo!Yupo Ireland
Hata Mimi najua hivyo!Yupo Ireland
Nakukumbusha tu! Alikaa kwa Selemani Msindi!Katika kudraft poems hapa bongo, hakuna anayemkaribia Solo au Ulamaaa . Jamaa anaandika lyrics zenye akili Acha kabisa.
Sililiza album nzima ya Solo, ya mwaka 2001 inaitwa bongo trans. Kisha rudi hapa jukwaani utoe comment'sNakukumbusha tu! Alikaa kwa Selemani Msindi!
Hiyo albam inafuta ukweli kwamba Solo alikaa mbele ya Afande?Sililiza album nzima ya Solo, ya mwaka 2001 inaitwa bongo trans. Kisha rudi hapa jukwaani utoe comment's
Yesi bila shakaHiyo albam inafuta ukweli kwamba Solo alikaa mbele ya Afande?
acha kumfananisha solo thang na vitu vya kipumbavu!Hiyo albam inafuta ukweli kwamba Solo alikaa mbele ya Afande?
ika vizuri naweza kukusaidia,maana binafsi sijaelewa swali lako..Wadau Kuna wimbo 1 wa madeni nilimpenda sana ile korasi ya kubembeleza, solo yuko, anarap mwishowe wanaimba pa1, Jina siujui. Unaishiaga "Mpenzi waaaanguuuu" wanauvuta hv!! Mwenye kunipata nisaidie. Nimegugo na kusikiliza zote siupatagi.
Sikiliza nyimbo inaitwa simu yangu ya Soggy dogg hunter feat Solo thang. Utajua Solo ni mtu wa aina gani. Pia sililiza Solo na mpenzi feat Mr. PaulNakukumbusha tu! Alikaa kwa Selemani Msindi!
Wameniibia 5210Sikiliza nyimbo inaitwa simu yangu ya Soggy dogg hunter feat Solo thang. Utajua Solo ni mtu wa aina gani. Pia sililiza Solo na mpenzi feat Mr. Paul
solo yupo bongo muda tu.Yupo Ireland
ni solo thang ulamaa,mwanazuoni alokomaaSililiza album nzima ya Solo, ya mwaka 2001 inaitwa bongo trans. Kisha rudi hapa jukwaani utoe comment's
Hahahahaa!!Hahaaaaaaaaa Homa ya dunia, Solo thang anakwambia dume zima shanga kiunoni urembo gani
"mwanzuoni,kurasa zangu tukufu hazina naajisi"ni solo thang ulamaa,mwanazuoni alokomaa