INTROVERT MAN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 993
- 1,351
Alikuwa ni waziri wa elimu kipindi cha JK .simsikii siku hizi anayejua anifahamishe yuko wapi
Hahaaa....yule ni mussa kawambwaYUKO WASAFI FM ANATANGAZA MICHEZO
Mzee alitubeba sana na mambo yake ya GPAAlikuwa ni waziri wa elimu kipindi cha JK .simsikii siku hizi anayejua anifahamishe yuko wapiView attachment 1548385
mwendo wa distinction tu