Msambaa unaambiwa hata misiba kijijini kwao haudhurii. Vikao vya ukoo haudhurii. Michango anatumia tu. Yani kajitenga tenga. Ana tabia moja mbaya Sana aliyozaliwa nayo ni katili. Alifeli form four ni mzee makamba tu ndie alimfanyia connection kuingia polisi.Hivi kabila gani huyu jamaa?
Huyu atakuwa ni Mnyika bhana! Wasambaa hatunaga tabia za kindezi kama zake. Ukatili na Wasambaa wapi na wapi!Msambaa unaambiwa hata misiba kijijini kwao haudhurii. Vikao vya ukoo haudhurii. Michango anatumia tu. Yani kajitenga tenga. Ana tabia moja mbaya Sana aliyozaliwa nayo ni katili. Alifeli form four ni mzee makamba tu ndie alimfanyia connection kuingia polisi.
Kaz ganJapo walifanya haramu lakini walifanya kazi kubwa sana.
DaaaaaMsambaa unaambiwa hata misiba kijijini kwao haudhurii. Vikao vya ukoo haudhurii. Michango anatumia tu. Yani kajitenga tenga. Ana tabia moja mbaya Sana aliyozaliwa nayo ni katili. Alifeli form four ni mzee makamba tu ndie alimfanyia connection kuingia polisi.
Ndo roho ya CCMKitu cha kusikitisha sijui kwanininbado DPP haja waona kina Kingai na genge lake kama ni wahuni tuu kama wale polisi wenzao majambazi kule Lindi.
Wanaiwakilisha vyema ccmKila raheri kwake,Mahita, Jumanne na Goodluck
Ameyakoroga inabidi ayanywe, Kibatala na jopo lake lilimtoa nock out kahenyeshwa vibaya na bado Luteni Urio yamemfika shingoni sembuse KingaiHuyu RPC, siku hizi simuoni na amekuwa kimya Sana sijui kwanini. Mara ya mwisho nilimuona mahakamani akitoa ushahidi kwenye kesi ya Mbowe, ni shahidi aliyebanwa vilivyo na kutamani kukimbia kizimbani.
RPC huyo ndo alimuambia Mbowe kuwa " safari hii hutoki'" Ila kwa jinsi kesi inavyoenda najua Kingai anajuta kujiusisha na hii kesi, na amepotea kabisa kwenye media, japo Niko Dar na kila siku naenda mahakamani, lakini huyu RPC amepotea hatumuoni Kama mwanzoni alivyokuwa mstari wa mbele kwenye kesi ya Mbowe
Yupo wapi Kingai
shapigwa kipapai cha kisogoni huyo!! usicheze na damu za watu.Bring Back Kingai
Mtafutie eneo lake la kazi utamkuta.Huyu RPC, siku hizi simuoni na amekuwa kimya Sana sijui kwanini. Mara ya mwisho nilimuona mahakamani akitoa ushahidi kwenye kesi ya Mbowe, ni shahidi aliyebanwa vilivyo na kutamani kukimbia kizimbani.
RPC huyo ndo alimuambia Mbowe kuwa " safari hii hutoki'" Ila kwa jinsi kesi inavyoenda najua Kingai anajuta kujiusisha na hii kesi, na amepotea kabisa kwenye media, japo Niko Dar na kila siku naenda mahakamani, lakini huyu RPC amepotea hatumuoni Kama mwanzoni alivyokuwa mstari wa mbele kwenye kesi ya Mbowe
Yupo wapi Kingai
Ni suala la muda tu
Malipo hapa hapa dunian kama anawez kumushudia uongo binadam mwenzie ili yamupate mabaya ipo siku yatamurudia na yyHuyu RPC, siku hizi simuoni na amekuwa kimya Sana sijui kwanini. Mara ya mwisho nilimuona mahakamani akitoa ushahidi kwenye kesi ya Mbowe, ni shahidi aliyebanwa vilivyo na kutamani kukimbia kizimbani.
RPC huyo ndo alimuambia Mbowe kuwa " safari hii hutoki'" Ila kwa jinsi kesi inavyoenda najua Kingai anajuta kujiusisha na hii kesi, na amepotea kabisa kwenye media, japo Niko Dar na kila siku naenda mahakamani, lakini huyu RPC amepotea hatumuoni Kama mwanzoni alivyokuwa mstari wa mbele kwenye kesi ya Mbowe
Yupo wapi Kingai
Wanalaana snWale ni watu walioishapoteza nafsi zao, ndio maana unaona Wengine wanajichimbia Makaburi
Ukifatilia vizuri hawa jamaa walikuwa wanatembea nchi nzima mikoa yote maeneo yote. Wanaweza kuingui makao makuu yote ya polisi walikuwa wanaingia bila kuhojiwa.Kaz gan
We jamaa umemtapeli OllaChuga OcJuzi alikuwepo upande wa pili wa road kwenye ile gereji anarekebisha kigari Fulani hivi
Toka lini misime wakawa wachaga?hao huwa ni lake zone hukoHawezi kuwa mchaga. Mchaga ni kama yule Misime na Liberatus Sabas.