Yuko wapi RPC nguli Ramadhani Kingai?

Mto wa mbu

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2021
Posts
4,126
Reaction score
9,608
Huyu RPC, siku hizi simuoni na amekuwa kimya Sana sijui kwanini. Mara ya mwisho nilimuona mahakamani akitoa ushahidi kwenye kesi ya Mbowe, ni shahidi aliyebanwa vilivyo na kutamani kukimbia kizimbani.

RPC huyo ndo alimuambia Mbowe kuwa " safari hii hutoki'" Ila kwa jinsi kesi inavyoenda najua Kingai anajuta kujiusisha na hii kesi, na amepotea kabisa kwenye media, japo Niko Dar na kila siku naenda mahakamani, lakini huyu RPC amepotea hatumuoni Kama mwanzoni alivyokuwa mstari wa mbele kwenye kesi ya Mbowe

Yupo wapi Kingai
 
Baada ya Kibatala na Mallya kumzima saa hivi anafikiria kuja ki vingine
 
Pale Oyster Bay police ng'ambo ya barabara kwenye mabustani ya Minchinhampton kuna q
 
Mungu anamwona!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…