Atakuja kusema nini wakati sera ya ccm na dhana ya kujivua gamba imemgeuka. EL aliyetuhumiwa sana na Nape kuwa ni Fisadi sasa yupo kwenye chat. EL anasisitiza mafisadi washughulikiwe!
Kaponzwa na wapambe wake kina ritz, rejao, FF, Mzee nk waliokuwa wanamvimbisha kichwa, ingekuwa zamani kabla ya kikao cha NEC wangejazana hapa kumtetea.
Nape kaficha uso wake..ishu kubwa ni baba yao Lowasa.na bado huyu jamaa atamfanya kitu kibaya sana huyu dogo.
Sasa hivi yupo dillema maana amegundua CCM haimtaki na ndani ya familia ya Baba yake pia walimtenga kwenye kumbukumbu ya kifo cha Baba yake. Kama mtakumbuka kwenye lile tangazo la kumbukumbu kwenye blog ya issamichuzi jina la Nape Nnauye halikutajwa kama ni sehemu ya watoto wa marehemu.
.......sio bure, wala hawakufanya hivyo kwa bahati mbaya, inawezekana kabisa wanafahamu ni mtoto wa nani!Sasa hivi yupo dillema maana amegundua CCM haimtaki na ndani ya familia ya Baba yake pia walimtenga kwenye kumbukumbu ya kifo cha Baba yake. Kama mtakumbuka kwenye lile tangazo la kumbukumbu kwenye blog ya issamichuzi jina la Nape Nnauye halikutajwa kama ni sehemu ya watoto wa marehemu.
Nape amechukizwa na usaliti aliofanyiwa na JK. Kamtuma kufanya kampeni za kufua magamba, alipokaribia kuwin JK kamtelekeza. Akabaki mpeke kama mwanaizaya!!!
Atakuja kusema nini wakati sera ya ccm na dhana ya kujivua gamba imemgeuka. EL aliyetuhumiwa sana na Nape kuwa ni Fisadi sasa yupo kwenye chat. EL anasisitiza mafisadi washughulikiwe!
Hakuna aliyemziba mdomo, kajizizba mdomo mwenyewe.Amezibwa mdomo!