Yuko busy anatafuta ushahidi wa kumwita Lowasa Fisadi vinginevyo atavuliwa gamba......hahahahahaWakuu kabla ya mkutano wa NEC Nape alikuwa active sana katika vyombo vya habari na mitandao ya Jamii, sasa hasikiki! Amezibwa mdomo?
Nilimsikia nikacheka kweli eti vyombo vya habari viendelee kuandika story zao zote wakimaliza wamjulishe kuwa wamemaliza ili aje kujibu ni kajua Nape anazidi kuchanganyikiwa yaani magazeti yaende ya karipoti kuwa tumemaliza kuandika tujibu, kwani yyana wajibika kwake.............Kwa hiyo kama waandishi hawata mfata kumjulisha kuwa wamemaliza kuandka story ina husu Nape na CCM(Magamba) hamtomsikia wala kumuona Nape akijibu vyombo vya habari.........Kwenye conference juzu na journalist aliwaambia kwamba atakua kimya kwa mda mpaka wamalize kuandika afu atawajibu once...!! hahahaa hizi sio dalili nzuri at all...! lets wait and see...
Tunawaongelea kwasababu wao ndiyo sehemu ya matatizo yaani hawaepukiki....Wana-Jukwaa, now inatosha kuongea habari za MAGAMBA (domokaya nape, mwizi lowasa, mnafiki mukama, zero brain JK). Ifike wakati tuongee national development, how we can make next step (hata kwa mass movement). Pls lets talk forward movement!
Sasa hivi yupo dillema maana amegundua CCM haimtaki na ndani ya familia ya Baba yake pia walimtenga kwenye kumbukumbu ya kifo cha Baba yake. Kama mtakumbuka kwenye lile tangazo la kumbukumbu kwenye blog ya issamichuzi jina la Nape Nnauye halikutajwa kama ni sehemu ya watoto wa marehemu.
Wakuu kabla ya mkutano wa NEC Nape alikuwa active sana katika vyombo vya habari na mitandao ya Jamii, sasa hasikiki! Amezibwa mdomo?
anaumwa ugonjwa wa ngozi kutokana na madawa ya kujchbua anayotumia.. So dokta wake kamshauri asitoke nje mara kwa mara ilikukwepa athari za jua.