Wadau,
Nikiwa bado mdogo miaka ya Tisini kulikuwa na gazeti linaitwa Motomoto! Na jingine likiitwa Mfanyakazi. Kwenye kurasa za magazeti haya kulikuwa makala za mwandishi aliyekuwa akiitwa. Stanley Katabalo.
Je, kuna mtu ana habari za kutosha kuhusu mwandishi huyu?
Nawasilisha.