Yuko wapi mwanaCCM Ismail Aden Rage?

Yuko wapi mwanaCCM Ismail Aden Rage?

Kwanza ingefaa uchunguze uyasemayo. Rage baada ya kuachiwa kwa msamaha wa Raisi Mkapa, alifungua kesi ya kulisafisha jina lake na kuonyesha mahakama kuwa alifungwa bila ya hatia.

Mahakama ya rufaa haikumkuta na kosa lolote lile na kulisafisha lake.

Pili huyu ni msomali na hawa ndugu zetu hawakurupuki ni watu wenye msimamo na wanapenda kuheshimu na kuheshimiwa. Rage kashindwa ubunge na amekubali kushindwa, haoni sababu ya kufanya siasa zisizo na tija akijua kuna mbunge na kipenzi cha wana Tabora.

Ukitaka kuwajua wasomali mashuhuri Tanzania na wakivyokuwa na heshima:
1.Kinana
2.Rage
3. Bashed
4. Marehemu Dirie aliyeku waziri na alitokea Zanzibar.
5. Mohamed Msomali mchezaji mpira.
6. Hassan Gobos- mpira
7. Bw Karie kiongozi wa FAT
8. Agostino Mrema.
9. OMARI MUHAJI
Mjomba yote hayo nayafahamu bali hayawezi kuficha ukweli kwamba Rage alifungwa kwa wizi wa vitu vya hovyo sana pale FAT

Kwa kuongezea , ni kwamba nazifahamu pia njama zake za kujisafisha ili aweze kugombea ubunge .

Mwisho - Nakushukuru kwa kunifahamisha uraia halali wa Agostino Mrema
 
Kwa watu wa Dar wa miaka mingi huyu ni mwanachama wa 'Saigon sports club',ni klabu ya watu wambeya na wa fitna kwa sana,kwa hiyo ni halali kabisa kuitwa mtu wa hovyo hovyo kwa mtazamo wangu
 
CCM ikikutumia huwa inakutupa kabisa , alishapigwa chini kitambo tu , na hii iwe fundisho kwa vijana wengine wachumia tumbo , kwamba usimpuuze Mungu kwa sababu ya ccm .
Ulichoandika juu ya Mr. Rage ni zaidi ya siasa. Ni chuki za kipumbavu sana juu ya mtu ambaye pengine hakujui na humjui pia. Ni kitu gani kikubwa alikufanyia mpaka uanze kubwabwaja juu ya uccm na ubunge wake wa zama hizo. Acha upuuzi wa kufikiri unaweza kuanzisha chochote kwa yeyote na ukafikiri unaweza kupata credibility kwa kufanya upuuzi.
 
Kwanza ingefaa uchunguze uyasemayo. Rage baada ya kuachiwa kwa msamaha wa Raisi Mkapa, alifungua kesi ya kulisafisha jina lake na kuonyesha mahakama kuwa alifungwa bila ya hatia.

Mahakama ya rufaa haikumkuta na kosa lolote lile na kulisafisha lake.

Pili huyu ni msomali na hawa ndugu zetu hawakurupuki ni watu wenye msimamo na wanapenda kuheshimu na kuheshimiwa. Rage kashindwa ubunge na amekubali kushindwa, haoni sababu ya kufanya siasa zisizo na tija akijua kuna mbunge na kipenzi cha wana Tabora.

Ukitaka kuwajua wasomali mashuhuri Tanzania na wakivyokuwa na heshima:
1.Kinana
2.Rage
3. Bashed
4. Marehemu Dirie aliyeku waziri na alitokea Zanzibar.
5. Mohamed Msomali mchezaji mpira.
6. Hassan Gobos- mpira
7. Bw Karie kiongozi wa FAT
8. Agostino Mrema.
9. OMARI MUHAJI
Hiyo #8,hahahaaa asante mkuu.
 
Ulichoandika juu ya Mr. Rage ni zaidi ya siasa. Ni chuki za kipumbavu sana juu ya mtu ambaye pengine hakujui na humjui pia. Ni kitu gani kikubwa alikufanyia mpaka uanze kubwabwaja juu ya uccm na ubunge wake wa zama hizo. Acha upuuzi wa kufikiri unaweza kuanzisha chochote kwa yeyote na ukafikiri unaweza kupata credibility kwa kufanya upuuzi.
Pole sana mkuu , unajua tunapoandika humu tunatambua kwamba hawa tunaowaandika wana wategemezi wao , wana watoto nk , ila sasa hatuangalii hayo , tunachoangalia ni ukweli wa jambo .

Hakuna asiyejua alichochangia Rage bungeni kwa miaka mitano (maana bunge lilikuwa live ) , hakuna asiyejua kwamba Rage alifungwa kwa wizi akiwa Katibu wa FAT , na hakuna asiyejua kwamba alipewa msamaha wa Rais baada ya afya yake kuzorota gerezani kutokana na ugonjwa wa kisukari , wala hakuna asiyejua kwamba alifanya siasa za kishamba za kupiga na kujeruhi wapinzani .

Unapopinga mambo kama haya unapaswa kuja na kanusho lenye vielelezo , vinginevyo utadhalilika vibaya sana !
 
Huyu ni miongoni mwa wanaccm waliofanya siasa za hovyo zilizojaa kejeli na vitisho , kule Igunga Tabora aliwahi kupanda kwenye jukwaa la kampeni akiwa Bastola kiunoni kwa lengo la kutisha wapiga kura .

Alikuwa miongoni mwa wabunge duni wasio na mchango wowote bungeni kwa kipindi cha miaka mitano na aliongoza kwa kugonga meza hata kwa hoja za hovyo , pia alishiriki shambulio lililokusudia mauaji ya kada wa chadema mkoani dodoma .

Aliwahi kufungwa jela kwa wizi wa vifaa vya soka , Ikiwemo mipira ya ADIDAS iliyokadiriwa kufikia 50 akiwa Katibu Mkuu wa FAT na baadaye kuachiwa huru kwa msamaha wa Rais.

Nauliza alipo maana sijamuona kwenye harakati za sasa za ccm , chama alichokiabudu kuliko hata Mungu wake .
Mzee wa bunduki kiunoni

In God we trust
 
Huyu ni miongoni mwa wanaccm waliofanya siasa za hovyo zilizojaa kejeli na vitisho , kule Igunga Tabora aliwahi kupanda kwenye jukwaa la kampeni akiwa Bastola kiunoni kwa lengo la kutisha wapiga kura .

Alikuwa miongoni mwa wabunge duni wasio na mchango wowote bungeni kwa kipindi cha miaka mitano na aliongoza kwa kugonga meza hata kwa hoja za hovyo , pia alishiriki shambulio lililokusudia mauaji ya kada wa chadema mkoani dodoma .

Aliwahi kufungwa jela kwa wizi wa vifaa vya soka , Ikiwemo mipira ya ADIDAS iliyokadiriwa kufikia 50 akiwa Katibu Mkuu wa FAT na baadaye kuachiwa huru kwa msamaha wa Rais.

Nauliza alipo maana sijamuona kwenye harakati za sasa za ccm , chama alichokiabudu kuliko hata Mungu wake .
Atakuwa kaamua kufunga domo lake maana anawashuhudia kina malinzi na aveva wanavyo pambana na hali zao

In God we trust
 
CCM ikikutumia huwa inakutupa kabisa , alishapigwa chini kitambo tu , na hii iwe fundisho kwa vijana wengine wachumia tumbo , kwamba usimpuuze Mungu kwa sababu ya ccm .
Salaam zimfikie jamaa yetu Hapie

In God we trust
 
M
Huyu ni miongoni mwa wanaccm waliofanya siasa za hovyo zilizojaa kejeli na vitisho , kule Igunga Tabora aliwahi kupanda kwenye jukwaa la kampeni akiwa Bastola kiunoni kwa lengo la kutisha wapiga kura .

Alikuwa miongoni mwa wabunge duni wasio na mchango wowote bungeni kwa kipindi cha miaka mitano na aliongoza kwa kugonga meza hata kwa hoja za hovyo , pia alishiriki shambulio lililokusudia mauaji ya kada wa chadema mkoani dodoma .

Aliwahi kufungwa jela kwa wizi wa vifaa vya soka , Ikiwemo mipira ya ADIDAS iliyokadiriwa kufikia 50 akiwa Katibu Mkuu wa FAT na baadaye kuachiwa huru kwa msamaha wa Rais.

Nauliza alipo maana sijamuona kwenye harakati za sasa za ccm , chama alichokiabudu kuliko hata Mungu wake .
Mkuu mbona unamshambulia kwa nguvu?
Hakuna binadamu aliekamilika isipokuwa Muumba
 
Back
Top Bottom