Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,422
- 271,907
Huyu ni miongoni mwa wanaccm waliofanya siasa za hovyo zilizojaa kejeli na vitisho , kule Igunga Tabora aliwahi kupanda kwenye jukwaa la kampeni akiwa Bastola kiunoni kwa lengo la kutisha wapiga kura .
Alikuwa miongoni mwa wabunge duni wasio na mchango wowote bungeni kwa kipindi cha miaka mitano na aliongoza kwa kugonga meza hata kwa hoja za hovyo , pia alishiriki shambulio lililokusudia mauaji ya kada wa chadema mkoani dodoma .
Aliwahi kufungwa jela kwa wizi wa vifaa vya soka , Ikiwemo mipira ya ADIDAS iliyokadiriwa kufikia 50 akiwa Katibu Mkuu wa FAT na baadaye kuachiwa huru kwa msamaha wa Rais.
Nauliza alipo maana sijamuona kwenye harakati za sasa za ccm , chama alichokiabudu kuliko hata Mungu wake .
Alikuwa miongoni mwa wabunge duni wasio na mchango wowote bungeni kwa kipindi cha miaka mitano na aliongoza kwa kugonga meza hata kwa hoja za hovyo , pia alishiriki shambulio lililokusudia mauaji ya kada wa chadema mkoani dodoma .
Aliwahi kufungwa jela kwa wizi wa vifaa vya soka , Ikiwemo mipira ya ADIDAS iliyokadiriwa kufikia 50 akiwa Katibu Mkuu wa FAT na baadaye kuachiwa huru kwa msamaha wa Rais.
Nauliza alipo maana sijamuona kwenye harakati za sasa za ccm , chama alichokiabudu kuliko hata Mungu wake .