Hivi huyu dada aliyekuwa muigizaji mwenza Steven Kanumba atakuwa Yuko wapi siku hizi? Mbona Kama hayuko kwenye Bongo Movie ckuiz.
Binafsi nilikuwa namkubali Sana kipindi anaigiza na Kanumba has a kwenye movie ya The Shock.Humo huyu binti alikuwa fundi wa kuigiza Hadi nikatokea kumpenda.
Kwa hiyo yeyote anayezifahamu habari zake tafadhali Naomba anieleweshe.
Dah aisee umenikumbusha mbali sana ,hala kabinti kalikuwa nasauti nzuri aisee , nilikavutia hisia sana mpaka nikawa nauwambia moyo koma mjini kuna vya watu