Yuko wapi muigizaji Shaz Sardy?

Raymanu KE

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2022
Posts
10,182
Reaction score
18,889
Hivi huyu dada aliyekuwa muigizaji mwenza Steven Kanumba atakuwa Yuko wapi siku hizi? Mbona Kama hayuko kwenye Bongo Movie ckuiz.

Binafsi nilikuwa namkubali Sana kipindi anaigiza na Kanumba has a kwenye movie ya The Shock.Humo huyu binti alikuwa fundi wa kuigiza Hadi nikatokea kumpenda.

Kwa hiyo yeyote anayezifahamu habari zake tafadhali Naomba anieleweshe.

 
Hata Mimi mkuu, nilikuwa nakatamani Sana haka katoto
Dah aisee umenikumbusha mbali sana ,hala kabinti kalikuwa nasauti nzuri aisee , nilikavutia hisia sana mpaka nikawa nauwambia moyo koma mjini kuna vya watu
 
Ngoja waje wanaofahamu watatoa majibu ya uhakika.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…