johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,036
Huyu Naibu Katibu mkuu wa CHADEMA upande wa Tanganyika mh Benson Kigaila hajasikika akimwaga cheche kama alivyozoeleka kwa muda mrefu
Yuko wapi huyu Mwamba?
Yuko wapi huyu Mwamba?
shughulika na CCM, achana na ya chademaHuyu Naibu Katibu mkuu wa Chadema upande wa Tanganyika mh Benson Kigaila hajasikika akimwaga cheche kama alivyozoeleka kwa muda mrefu
Yuko wapi huyu Mwamba?
Umeshapanic 😂😂🔥shughulika na CCM, achana na ya chadema
kwa kweli huyo mwamba hajaonekana hata kusikika akiongea nahisi kuna mambo hayapo sawa kule chadema hasa kwenye maridhiano yanayoendelea nasikia wapo wanaotaka kuachiwa majimbo wengine wanasema hayo siyo maridhiano kinachotakiwa ni katiba mpyaHuyu Naibu Katibu mkuu wa Chadema upande wa Tanganyika mh Benson Kigaila hajasikika akimwaga cheche kama alivyozoeleka kwa muda mrefu
Yuko wapi huyu Mwamba?
Yupo wapi Kinana?Huyu Naibu Katibu mkuu wa CHADEMA upande wa Tanganyika mh Benson Kigaila hajasikika akimwaga cheche kama alivyozoeleka kwa muda mrefu
Yuko wapi huyu Mwamba?
kwa kweli huyo mwamba hajaonekana hata kusikika akiongea nahisi kuna mambo hayapo sawa kule chadema hasa kwenye maridhiano yanayoendelea nasikia wapo wanaotaka kuachiwa majimbo wengine wanasema hayo siyo maridhiano kinachotakiwa ni katiba mpya
Nilichojiuliza hawa wanaotaka majimbo ni mkuu yule wa chama? maana hata tundulisu hilo anakigugumizi nalo.
Mkewe ni miongoni mwa Covid-19?Mkewe kuwa mmoja wa wale wabunge wa Yobo kusingewezq kumwacha na bashasha lake lile lile siku zote kwenye ukombozi hata kama angekuwa na moyo wa jiwe.
Familia nazo hukwaza .. ndiyo maana Mama Abduli hatumwelewi elewi!
Atakuwa na Mwamba Tundu, naye simuoni tangu Kalatu?Huyu Naibu Katibu mkuu wa CHADEMA upande wa Tanganyika mh Benson Kigaila hajasikika akimwaga cheche kama alivyozoeleka kwa muda mrefu
Yuko wapi huyu Mwamba?
Yupo Geita anasajili CHADEMA digital, mbowe kwenye hotuba yake ya jana kampongeza kwa kazi anayofanya huko usiku na mchana kujenga mtandao wa chama katika kila kata huko kanda ya ziwa.Huyu Naibu Katibu mkuu wa CHADEMA upande wa Tanganyika mh Benson Kigaila hajasikika akimwaga cheche kama alivyozoeleka kwa muda mrefu
Yuko wapi huyu Mwamba?
Anakagua misitu na mbuga zetu, anahesabu temboYupo wapi Kinana?
mkewe si kundi la Covid -19 huyu jamaa. Wife analeta 13mil ktk familia kila mwezi usingetulia?......hata wewe na mimi tungetulia.....ni ukweli mchungu.Huyu Naibu Katibu mkuu wa CHADEMA upande wa Tanganyika mh Benson Kigaila hajasikika akimwaga cheche kama alivyozoeleka kwa muda mrefu
Yuko wapi huyu Mwamba?
of course kama mke akifanya hivyo manake mlipokuwa kitandani mlijadili na unajua anapambania ada za watoto wako wewe mwenyewe.mkewe si kundi la Covid -19 huyu jamaa. Hata kama ungekuwa wewe ungetulia tu....
factof course kama mke akifanya hivyo manake mlipokuwa kitandani mlijadili na unajua anapambania ada za watoto wako wewe mwenyewe.
Mkewe ni miongoni mwa Covid-19?