Phares Magesa kaopoa Chombo Mbiki Msumi.
Kweli usije kutamani ndoa ya mtu mwingine kwa mionekano ya nje ,yaani kama PM asingeweka wazi kama wameachana basi watu wengi walikuwa wanatamani sana "KAPO" yao yenye watoto majiniazi na wana mipunga ,kumbe ndani NDOA NDOANO.