Yuko wapi Makamu wa Dr Mpango ?

Yuko wapi Makamu wa Dr Mpango ?

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
13,554
Reaction score
57,846
Jana sijaona akitambulishwa bungeni

Je ratiba ilipangwa vipi bila yeye kuwepo Ila Viongozi wengine wote wawepo ?

Isipokuwa yeye na mkuu wa Majeshi?

Je ni ratiba au Kuna sababu nyingine?

Au ndio kastaafu Kama tulivyoalifiwa kabla ya muda?
 
Jana sijaona akitambulishwa bungeni

Je ratiba ilipangwa vipi bila yeye kuwepo Ila Viongozi wengine wote wawepo ?

Isipokuwa yeye na mkuu wa Majeshi?

Je ni ratiba au Kuna sababu nyingine?

Au ndio kastaafu Kama tulivyoalifiwa kabla ya muda?
Huku kwetu tumevuruga kila kitu kuanzia katiba yetu wenyewe hadi ya taifa
 
Jana sijaona akitambulishwa bungeni

Je ratiba ilipangwa vipi bila yeye kuwepo Ila Viongozi wengine wote wawepo ?

Isipokuwa yeye na mkuu wa Majeshi?

Je ni ratiba au Kuna sababu nyingine?

Au ndio kastaafu Kama tulivyoalifiwa kabla ya muda?
Alienda nje kwenye mkutano kumwakilisha Rais katk mkutano flan nahis ni Paris
 
Jana sijaona akitambulishwa bungeni

Je ratiba ilipangwa vipi bila yeye kuwepo Ila Viongozi wengine wote wawepo ?

Isipokuwa yeye na mkuu wa Majeshi?

Je ni ratiba au Kuna sababu nyingine?

Au ndio kastaafu Kama tulivyoalifiwa kabla ya muda?
Alisha kuambieni anataka kupumzika
 
Huko ukiwaambia ukweli tu kuhusu NRNE unaonekana msaliti🤣🤣🤣🤣kama mzee Warioba yani leo Sumaye anaonekana ni bora kulimo Warioba kisa ameongelea kuhusu mabadiliko acha tuone kiburi kitawafikisha wapi.


No reform No Election
 
Ondoa/epuka mawazo na fikra hasi

Mkuu wa majeshi Namibia
Screenshot_20250628-220156_Instagram.jpg


Makamu Nigeria
Screenshot_20250628-215804_Instagram.jpg
 
Jana sijaona akitambulishwa bungeni

Je ratiba ilipangwa vipi bila yeye kuwepo Ila Viongozi wengine wote wawepo ?

Isipokuwa yeye na mkuu wa Majeshi?

Je ni ratiba au Kuna sababu nyingine?

Au ndio kastaafu Kama tulivyoalifiwa kabla ya muda?
Makamu wa Rais ana shughuli gani bungeni?

Unaelewa watu wa serikali wenye shughuli bungeni ni nani?
 
Dr Yupo Nje ya Nchi kwa KAZI za Nchi akimwakilisha Mh Rais!

Kabla ya kusema tuwe tunafwatilia kujua viongozi wetu wa kitaifa wapo wapi Kwa majukumu Gani!
 
Back
Top Bottom