Yuko wapi Kingunge Ngombare Mwiru?

Yuko wapi Kingunge Ngombare Mwiru?

Mchochezi

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
11,451
Reaction score
9,981
Mwanasiasa huyu mkongwe na mmoja wa waasisi wa CCM aliyekuwa na kadi namba 8 yuko wapi kwa sasa?

Namkumbuka sana na kauli yake maarufu wakati Kampeni za Uchaguzi Mkuu kuwa " CCM imeishiwa pumzi " yuko wapi komredi huyu?

Nakumbuka enzi hizo kuna maneno yalikuwa yanazagaa mtaani kuwa jamaa ni " Kalumanzila " wa CCM, lakini baadae alikuja kukihama chama hiko. Je ni wapi alipo mwanasiasa huyu mkongwe kwa sasa maana yupo kimya sana?
 
Mkuu Jana nlimuona kigoda cha mwalimu, anavuta pumzi kwanza
 
Yuko fresh na ameanza kuwa kijana tena! Jana alihudhuria Mjadala wa Urathi wa Nyerere kwa Vyama Vingi vya Siasa, pale kwenye Kavazi la Mwl Nyerere, Kijitonyama (COSTECH). Aliketi mbele kabisa jirani na Salim Ahmed Salim aliyekuwa mgeni rasmi pamoja na Mzee Mwinyi.

Pia Mzee Kingunge alisalimiana na Col Kinana. Zitto Kabwe pia alihudhuria mjadala huo.
 
Siasa bhana inahitaji utulivu na kujaribu kua na weledi na kuwainnovetor mkubwa sana
 
Mwanasiasa huyu mkongwe na mmoja wa waasisi wa CCM aliyekuwa na kadi namba 8 yuko wapi kwa sasa?

Namkumbuka sana na kauli yake maarufu wakati Kampeni za Uchaguzi Mkuu kuwa " CCM imeishiwa pumzi " yuko wapi komredi huyu?

Nakumbuka enzi hizo kuna maneno yalikuwa yanazagaa mtaani kuwa jamaa ni " Kalumanzila " wa CCM, lakini baadae alikuja kukihama chama hiko. Je ni wapi alipo mwanasiasa huyu mkongwe kwa sasa maana yupo kimya sana?

Kwani hukumuoma chuo kikuu kwenye kigoda cha mwalimu. Acha unafiki
 
Kwani hukumuoma chuo kikuu kwenye kigoda cha mwalimu. Acha unafiki[/QUOTE
Mwanasiasa huyu mkongwe na mmoja wa waasisi wa CCM aliyekuwa na kadi namba 8 yuko wapi kwa sasa?

Namkumbuka sana na kauli yake maarufu wakati Kampeni za Uchaguzi Mkuu kuwa " CCM imeishiwa pumzi " yuko wapi komredi huyu?

Nakumbuka enzi hizo kuna maneno yalikuwa yanazagaa mtaani kuwa jamaa ni " Kalumanzila " wa CCM, lakini baadae alikuja kukihama chama hiko. Je ni wapi alipo mwanasiasa huyu mkongwe kwa sasa maana yupo kimya sana?

Unamuuliza kama nani?? Mkewake hajamuuliza ww unaanzaje??
 
Unamuuliza kama nani? Mkewake hajamtafuta wewe unamtakia mini??
 
Mwanasiasa huyu mkongwe na mmoja wa waasisi wa CCM aliyekuwa na kadi namba 8 yuko wapi kwa sasa?

Namkumbuka sana na kauli yake maarufu wakati Kampeni za Uchaguzi Mkuu kuwa " CCM imeishiwa pumzi " yuko wapi komredi huyu?

Nakumbuka enzi hizo kuna maneno yalikuwa yanazagaa mtaani kuwa jamaa ni " Kalumanzila " wa CCM, lakini baadae alikuja kukihama chama hiko. Je ni wapi alipo mwanasiasa huyu mkongwe kwa sasa maana yupo kimya sana?

Nadhani comrade sasa hivi yuko kwenye wakati mgumu mno...kurudi CCM au kuendelea kubaki CHADEMA...Kosa moja la maamuzi mabaya linafuta mazuri yote aliyofanya...inasikitisha mno...siasa ni kitu kibaya mno...
 
Mwanasiasa huyu mkongwe na mmoja wa waasisi wa CCM aliyekuwa na kadi namba 8 yuko wapi kwa sasa?

Namkumbuka sana na kauli yake maarufu wakati Kampeni za Uchaguzi Mkuu kuwa " CCM imeishiwa pumzi " yuko wapi komredi huyu?

Nakumbuka enzi hizo kuna maneno yalikuwa yanazagaa mtaani kuwa jamaa ni " Kalumanzila " wa CCM, lakini baadae alikuja kukihama chama hiko. Je ni wapi alipo mwanasiasa huyu mkongwe kwa sasa maana yupo kimya sana?
Ni kweli mkuu hata kwenye binge la katiba aliingia kwa tiketi ya waganga wa hadi!
 
Back
Top Bottom